AshaDii
Platinum Member
- Apr 16, 2011
- 16,189
- 18,102
- Thread starter
- #281
ha ha ha ha ha ha! za mtandaoni siyo zangu bana, am not kind of a person who take chances kwenye vitu km hivi:A S-confused1:.(Reason;as i hv mentioned previously + s'tym a person may not fit my values).........
Ila hao ambao hawatongozwi na naamini wapo lonely (Reason;coz even a thug gets lonely ati),,,,still dont know how to get man of there desire they need a big help......(my take; s'tym we men play and dance tones za women ,unaona umetafuta kumbe umenasishwa.....it happened wakati mwingine na magwiji wanajua....akili kumkichwa):confused2:
I think it is more out of knowing ones self.... HAKUNA mtu ambae ni mbaya moja kwa moja OR un interesting moja kwa moja..... Ukijijua it is a Great thing.... Kama mazingira yako ni yale ambayo hayawezi entertain utongozwaji and you like it that way then it is OK.
A lady akijitambua it is good.... then atatambua tatizo lipo wapi.... Akijua kua hatongozwi for she looks too expensive... inabidi ajitahidi kujiweka katika hali ambayo itamuonesha mtu wa kawaida... degrade the type of car aendesha (Instead of my dream car Range Rover... waishia zako kwenye Vitz); Akijijua kua yeye ni mbaya.... then atafute kitu ambacho ni kizuri katika mwili wake, iwe boobs, iwe butt, iwe nywele, iwe miguu or whatever na make them seen as part of the beauty... sina maana akae uchi or nusu uchi... no! the type of clothe you choose pia hapa matters.....