Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,991
- 24,211
Babu kusema suna,
Kuna mwingine akikutongoza raha hadi inabidi useme tu.
Kama fulani anitongoze, si ntasema kwa kila mtu.
Kuna mwingine akikutongoza raha hadi inabidi useme tu.
Kama fulani anitongoze, si ntasema kwa kila mtu.
ADi,Kuna kitu kimoja wanawake huwa mnakosea...Yaani mwanamume angetamani akikutongoza basi ibaki siri yako hadi unakufa au usubiri hadi afe ndo useme....Sasa hebu ona ambavyo leo mmetusema...Kime ningekuwa nimeshawahi tongoza mmoja wa wachangiaji ningebadi ID immediately.....!!Ebu ona hata huyu jamaa alivyojihami mapema...!