Mwanamke Kutotongozwa…. JAMANI Tatizo nini?

Mwanamke Kutotongozwa…. JAMANI Tatizo nini?

Hakikisha you come back! lol
hahaha.... Kuna wanawake hawatongozwi mdogo wangu hadi inampa homa... believe me!

Sasa hao ambao wanajitongozesha hadi kwa mwanaume yuko na ubavu wake hapo hapo ina maana kua ndio wale hawana soni kabisa, lazima watakua wanatongozwa for ndio wale ambao wamejirahisisha; na hakuna ambacho wanaume hupenda kama mwanamke alojirahisisha....


Siku hizi tunaenda na Wakati. Mwanamke pia anaruhusiwa kutongoza kwani kupenda ni pande zote tuna kaugonjwa ka kupenda. Ukisubiri kutongozwa utazeeka na uzuri wako; Siku hizi tunajali KUNYEGEZANA

Tukumbuke kuwa "NYEGE NI KUNYEGEZANA"

MAPENZI ni KUKONYEZANA, MAPENZI ni KUTONGOZANA, MAPENZI ni KUKUNANA, MAPENZI ni..........



MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
Mkuu don't judge the book by cover, Lizzy she cute humble lady and very social,..... msiogope ogope wanawake kihivyo tena mara nyingi wanawake wa kawaida ndio wasumbufu na majehuri, usije ukamuogopa Halima Mdee kwa sababu anashusha sana mapoint bungeni dunia haiko hivyo mkuu wangu, kwa Nature ya dunia ilivyo kamwe Halima Mdee hawezi kuolewa na Zitto Kabwe bali mwanaume mwingine wa kariba tofauti, na ni ngependa nikutaarifu Halima anatafuta mwanaume wa kumuowa, kama uko interested naye cheki naye.

157427_100001425908463_4956608_n.jpg

kaka,kuna sehemu nimeandika KAMA HUYU DADA YUKO HIVYO KTK DUNIA YA KWELI!nadhani umenielewa sasa!

kingine,asante kwa ofa yako kwa Halima Mdee!mimi nina ndoa yangu yenye kila aina ya baraka!na hayo mambo ya kutongoza sipo kabisa mkuu hapa nachangia mada tu!
 
Hapana my ADI,

Marriage fever ikishaingia watu wanatongoza tongoza hovyo kujabu bahati zao..Wanafikia mahali pa kuamini kuwa mwenda bure si mkaa bure,

Babu DC!!

Babu DC... Asante kwa kunielewesha.... I thot a guy anakua more makini, more vigezo na more serious not to entertain mtongozo wa ovyo ovyo....
Really,

I would love to know something as sweet as this from Bibi DC...Bahati mbaya sie tulitafutiwa na wazazi!!

Kwa nini usimgawie kidogo FL1 ampelekee huyo dada anayeteseka kwa kukosa raha ya kuitwa my sweetie na dume???

Babu DC


hahaha.... DC I like your stlye.... hahaha.... but bahati mbaya nimekung'amua...lol... FL namtumia pm...
 
Unaona sasa, watu wote washanijua jina langu ni Natasha, na nilikuwa la 4 mwaka 1994.
Siri zote hadharani.

Nakuharibia kwenye kimbwa unachouza.

Kuna ubaya gani. Tena ni sifa kubwa kama ulitongozwa ukiwa darasa la nne.
You must been the luckiest one in the class.
Ukiniaharbia biashara ya puppy wangu itakula kwako kama BWM
Itabidi niende kwenye zile za jino kwa jino.
 
nashukurunkujua upo poa!

yeah! it happened and it work for others kwakweli ila thts very unusual for some pia inluding me(labda nitaanza na ww mtandaoni km normal person ila nia lna dhumuni ni after contact ya ana kwa ana)......... Ila siku hizi ile seriousness ya mitongozi imepungua sana ,s'tm unaweza kuwa in a relationship bila hiyo mitongozano just actions zinaongea sasa sijui hili litafanikiwa vipi mtandaoni.....(reason; tatizo la mtandaoni ni km itakulazimu kufunguka na most of the time itakuwa kama unajilipua vile na the chance is 50/50 )


lol.... Asakute isije ikawa ndio ushaanza kwangu kijanja.....lol.... (I am unavailable:A S 13: ); Hivo ukitaka kujaribu, jaribu it is ok... kwa wengine....lol. Ila tu genuinely sikushauri. Na nakubaliana na justification yako of the rest of the post....
 
kaka,kuna sehemu nimeandika KAMA HUYU DADA YUKO HIVYO KTK DUNIA YA KWELI!nadhani umenielewa sasa!

kingine,asante kwa ofa yako kwa Halima Mdee!mimi nina ndoa yangu yenye kila aina ya baraka!na hayo mambo ya kutongoza sipo kabisa mkuu hapa nachangia mada tu!
Ubarikiwe sana kama kwenye kutongoza haupo, ila ukumbuke kuna kutongozwa pia,......ila haishauriwi utembee na gari bila ya kuwa na spare Tyre! Stuka! maisha yenyewe haya yamekaa kitiming timing.
 
I know a lady who is over fifty and very attractive. In fact she knows how to keep herself attractive every day.


Tata nimekupata... ila ni wachache hufikiri hivo....
 
lol.... Asakute isije ikawa ndio ushaanza kwangu kijanja.....lol.... (I am unavailable:A S 13: ); Hivo ukitaka kujaribu, jaribu it is ok... kwa wengine....lol. Ila tu genuinely sikushauri. Na nakubaliana na justification yako of the rest of the post....
........Kuna mmoja aliwahi kuniambia am single & not searching, lakini nilivyopekuwa Encyclopedia yangu nikakutana na kipengele kisemacho always woman they mean yes when they NO!......... nadhani unajuwa kifuatacho ITV.
 
Kutongozwa siyo sifa wala deal, pili siyo lazima utongozwe ndiyo ujulikane unapendwa. Kuna mapenzi ya automatic mnajikuta mko kwenye mapenzi bila kutongozana.

Una sura mbaya, nzuri, ni tajiri, umesoma, hujasoma, mkaanga sumu, mcha mungu yote hayo kwenye mapenzi yako nje ya msitari.
 
Hii ni name calling ya wazi kabisa! we report abuse tu, anachapwa viboko 24... 12 siku ya kupigwa Ban, zingine anajua mwenyewe. lolest
As for the dog, naenda kufunga ile thread, nimesha mnunua.
Hahahaha Yaani hata kama mtu huna kesi utangenezewa moja
Tena ndani ya sredi ya Ashaa Dii
Haiwezekani. lazima nifanye pre-emptive strike.
Na mbwa wangu kudai umeshamnunua ni kama vile unataka nikupe kama rushwa usinipe ban.
Hapa lazima utaomba maandamano ya chadema.
 
Purply Teamo.... Hii post umeongea ya msingi na I have noted umeongea kwa mafilingi.... Bahati mbaya kitu ambacho chatusumbua ladies ni kuto jitambua, kuto jua tofauti of what is best for Us na what we want. Tunasahau kabisaaaa kua yale ambayo twataka sio lazima kua yatufaa katika maisha yetu. Morals nazo za changia saana tokana na kushuka kwake... Katika mambo mengine ambayo hunifanya ni Miss ya kale ni yale yalobadilika for the worse..... hapo nyuma ilikua kazi sana kumkuta mdada/mmama ku declare kwenye public kamzimia mwanaume fulani.... Ila sasa ni kama mzaha tu.

Na believe me you.... Most of us ladies tukitongozwa twaona ndio mzuriiiii na kwamba wewe wafaa..... Na kama ni mke wa mtu na ni mpumbavu ama umekosa utafakari unavunja na heshima ya ndoa na mume wako kwa kuleta jeuri ndani ya nyumba. Ok, mtu waweza tereza (kwa bahati mbaya ama makusudi or Whatever!) lakini heshima ya ndoa yatakikana iwe pale pale!

Hata hivo Teamo hata hapo nyuma nimegusia.... kama wewe mwanamke watongozwa kila siku let alone kila mara inabidi ujichunguze wewe, ama mazingira uliopo ama watu walokuzunguka ili uweze hasa fahamu what message you are sending to the watongozaji......


naweza kusema nimeielewa sana thread....!na pia hata kama nikitoa sababu zitakuwa ni repititive...!

natumia fursa hii kuwashukuru woootee kabisa kuanzia mrusha bandiko ashadii hapo juu mpaka mtu wa mwisho naisoma post yake,post nr 224 ndugu russian roulette...!

labda ushauri tu kidogo kwa wakina dada....!

swala la kutongozwa linaweza kuwa muhimu kwenu ''kwa wakati fulani katika umri zenu''...lakin amini usiamini kuna maisha

mazuri mno zaidi ya hilo la kutongozwa na mahitaji yake ya kimwili....!nasema hivyo kwa kuwa tu kumekuwa na imani

kwamba ukitongozwa utaolewa,au manake we ni mzuri sana machoni pa anayekutongoza...(labda).lakin mi nawathibitishia

kwamba ukitongozwa LABDA PENGINE UTAOLEWA....!au mara zote Utatumika tu...!au pia unatongozwa sana na mfululizo

kwa kuwa tu wewe ni ''easy going woman''...!very cheap one.kwa iyo naweza kusema kwamba ninatamani hata zile

''arranged marriages'' zakina DC zingerudi tu...!kwasaabu gani mi naona kutongozwa katika kipindi hichi siku zote na kwa

asilimia kubwa huwa ni AFTERMATH YA MATAMANIO TU...!i mean we unaweza furahia kutongozwa alaf very late na

umeshatumika sana unagundua ni mume wa mtu...!you will never be happy!..

saaasaaa baasi...!mi narudi pale pale...!kuna furaha ya msingi zaidi katika maisha yako zaidi ya hilo la kutongozwa...!kuna

mambo ya msingi na mazingira ya msingi kabisa ambayo ni lazima uyaandae na kuyafanya kwa pamoja ili uweze kucatch

up na ''the right person'' wa kukutongoza...!

nawahurumia sana wanawake kwa kuwa tu nimekuwa nikifikiri sana ni kwanin wanakuwa na desperations (hasa za

kutongozwa)....?!nimewahi sikia redio fulan za hapo dar wanawake wanaongea kwa kujiamini na kujidai kwamba


''wanamzimia ALIKIBA''...!yani wao wako radhi kwa lolote...!mwingine anasema anamzimia ''MR BLUE''...!sasa hizi ni dalili za

kukata tamaa..!katika hali ya kawaida alikiba au blue watawaweza kweli???...wana wanawake wangapi hao

mastaa??...halaf wakiachwa wanakimbilia kwenye magazeti ''ooh...nimevunjwa moyo''!....

chonde chonde dada zangu....!YOU TAKE TIME TO LIVE BECAUSE THE WORLD HAS SO MUCH TO GIVE!...

I mean msihangaike nayo sana hayo...!ni mambo ya kupita sana!...yana wakati wake pia

 
Hahahaha Yaani hata kama mtu huna kesi utangenezewa moja
Tena ndani ya sredi ya Ashaa Dii
Haiwezekani. lazima nifanye pre-emptive strike.
Na mbwa wangu kudai umeshamnunua ni kama vile unataka nikupe kama rushwa usinipe ban.
Hapa lazima utaomba maandamano ya chadema.
We sema tu unataka kunisindikiza...


EMT is screwed up!:scared:
Big time!
 
naweza kusema nimeielewa sana thread....!na pia hata kama nikitoa sababu zitakuwa ni repititive...!

natumia fursa hii kuwashukuru woootee kabisa kuanzia mrusha bandiko ashadii hapo juu mpaka mtu wa mwisho naisoma post yake,post nr 224 ndugu russian roulette...!

labda ushauri tu kidogo kwa wakina dada....!

swala la kutongozwa linaweza kuwa muhimu kwenu ''kwa wakati fulani katika umri zenu''...lakin amini usiamini kuna maisha

mazuri mno zaidi ya hilo la kutongozwa na mahitaji yake ya kimwili....!nasema hivyo kwa kuwa tu kumekuwa na imani

kwamba ukitongozwa utaolewa,au manake we ni mzuri sana machoni pa anayekutongoza...(labda).lakin mi nawathibitishia

kwamba ukitongozwa LABDA PENGINE UTAOLEWA....!au mara zote Utatumika tu...!au pia unatongozwa sana na mfululizo

kwa kuwa tu wewe ni ''easy going woman''...!very cheap one.kwa iyo naweza kusema kwamba ninatamani hata zile

''arranged marriages'' zakina DC zingerudi tu...!kwasaabu gani mi naona kutongozwa katika kipindi hichi siku zote na kwa

asilimia kubwa huwa ni AFTERMATH YA MATAMANIO TU...!i mean we unaweza furahia kutongozwa alaf very late na

umeshatumika sana unagundua ni mume wa mtu...!you will never be happy!..

saaasaaa baasi...!mi narudi pale pale...!kuna furaha ya msingi zaidi katika maisha yako zaidi ya hilo la kutongozwa...!kuna

mambo ya msingi na mazingira ya msingi kabisa ambayo ni lazima uyaandae na kuyafanya kwa pamoja ili uweze kucatch

up na ''the right person'' wa kukutongoza...!

nawahurumia sana wanawake kwa kuwa tu nimekuwa nikifikiri sana ni kwanin wanakuwa na desperations (hasa za

kutongozwa)....?!nimewahi sikia redio fulan za hapo dar wanawake wanaongea kwa kujiamini na kujidai kwamba


''wanamzimia ALIKIBA''...!yani wao wako radhi kwa lolote...!mwingine anasema anamzimia ''MR BLUE''...!sasa hizi ni dalili za

kukata tamaa..!katika hali ya kawaida alikiba au blue watawaweza kweli???...wana wanawake wangapi hao

mastaa??...halaf wakiachwa wanakimbilia kwenye magazeti ''ooh...nimevunjwa moyo''!....

chonde chonde dada zangu....!YOU TAKE TIME TO LIVE BECAUSE THE WORLD HAS SO MUCH TO GIVE!...

I mean msihangaike nayo sana hayo...!ni mambo ya kupita sana!...yana wakati wake pia


Wazazi wenye watoto wa kike utawajua tu.....wanatumie kiona mbali kupiga picha...

Anyway....wenzenu tulikuwa tunaletewa na tunapokea kwa raha zetu...

Mnaweza hayo??
 
hahaaaaaaaa hii thread inapoelekea inanifurahisha.:smile:
 
ADi,Kuna kitu kimoja wanawake huwa mnakosea...Yaani mwanamume angetamani akikutongoza basi ibaki siri yako hadi unakufa au usubiri hadi afe ndo useme....Sasa hebu ona ambavyo leo mmetusema...Kime ningekuwa nimeshawahi tongoza mmoja wa wachangiaji ningebadi ID immediately.....!!Ebu ona hata huyu jamaa alivyojihami mapema...!
attachment.php
 

Attachments

  • Presentation1.jpg
    Presentation1.jpg
    54.1 KB · Views: 266
Miss you more. But nipo permanent sasa. 🙂
Haya basi, I hope hao wasio tongozwa japo wanataka, na hawajui tatizo ni nini sasa wamejua.


Naamini hilo Alter... Hivo have you noticed there is more message than Mtongozano? lol... I hope you are learning something here....
 
Siku hizi tunaenda na Wakati. Mwanamke pia anaruhusiwa kutongoza kwani kupenda ni pande zote tuna kaugonjwa ka kupenda. Ukisubiri kutongozwa utazeeka na uzuri wako; Siku hizi tunajali KUNYEGEZANA

Tukumbuke kuwa "NYEGE NI KUNYEGEZANA"

MAPENZI ni KUKONYEZANA, MAPENZI ni KUTONGOZANA, MAPENZI ni KUKUNANA, MAPENZI ni..........



MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!


Ni vitu vingi saana vimebadilika katika ulimwengu huu.... Hasa katika mahusiano... ila kumbuka tu kua the basics are still the same. Kama you really want a future na huyo mwanaume then wafuata technique za BlackBerry... wahakikisha waweka mazingira ambayo hadi akutongoze bila hata yeye kujua it was your plan all along..... lol Lakini mara nyingi hio husumbua saana katika mahusiano kama wewe ndio ulitongoza the man.
 
Back
Top Bottom