very true ,its not nonsense(evertone wants best 4 their kids,,,,,,japo huo ubest unatofauti) hata wababa wapo siyo wamama tu.......... Little confession; nilimpatia binti X some service ninapofanyia kazi ,then nikampatia Mama wa X service.......at 1st binti X aliletwa na her farther ,then her mother ,hlf tena farther....baba alimleta binti kupata huduma km mara 4 hivi na zote nilijitolea kuwasaidia.
sasa baada ya hapo nikawa napokea calls from the gal's father ,ila inshort ni siku moja nikabipiwa km mara tatu kupiga nakutana na yule binti akaniambia baba yake karudi nyumbani amelewa anamlazimisha kuongea na mimi kwenye 4ne.....the rest waja niache ,ila nilistuka neva expected that kutoka kwa baba wa mtu.