Mwanamke Kutotongozwa…. JAMANI Tatizo nini?

Mwanamke Kutotongozwa…. JAMANI Tatizo nini?

Tatizo Kamanda ni pale unapotongozwa na usiyetaka akutongoze lol!
mzima lakini? Afu kuhamia manzese sio ndo ujifunze maneno machafu namna hiyo, yaani sie na midomo yetu yenye ma-lipstick toka ma-Avon, sijui Mac nini nini huko unafananisha na tumbo la kuhara?!!
Mwanajamii, hiyo ni tatizo lakini ukiangalia kwa undani sio tatizo, tafiti zimeonyesha kwamba, mtu uliyekuwa una dream ndio atakuwa mume wako wa aina hiyo au mkeo, sio huyo unayeishia kuwa naye, unajikuta mikononi mwa mtu tofauti halafu ndio unampenda kufa
 
Huyu kaka ana kwapa kali, duh ngoja nimpulizie deodorant.

Afu eti umepiga boxer kama hili afu umtokee mtoto wa Obama eti usitegemee kibuti....

DSC_1598.JPG
 
habari yako AD?
this thread z useful itawasaidia sana wadada ambao hawana damu ya kutongozwa (Reason;km miaka 7 nyuma niliwahi kusikia mazungumzo ya wadada wawili mmoja ana mlalamikia mwenzake....nanuku; "mwenzangu mimi toka nitongozwe siku ile na yule mkaka miezi 3 iliyopita sijatongozwa tena ,sijui nimepata nuksi gani?")
my take;it seems this thing inawaumiza sana dada zetu.

Come to the topic; kutongoza z very relative term coz it goes either way(mwanamke na mwanaume) ila yeyote anayetongoza lazima atongoze na kuhakikisha anapata (Reason;for a real hunter its doesnt feel good kukosa aka Kibuti) kwahiyo hamna kubahatisha,so you must analyse unayemwinda( kwa kuangalia both availability yake ,mazingira yanayomzunguka,your chances etc).....thats why kwa mtu km mimi na wengine km mimi hawawezii kukutongozea mtandaoni (as kizazi cha dot.com wanavyopenda kufanya).....Reason;Kwasababu wanajua WATAMISS IMPORTANT BODY LANGUAGE NA ZAIDI ILE PHYSICAL ATTRACTION MTU ALIYONAYO.

IMPORTANT;you have to be in a right territory to get a certain PREY........hivyo hivyo ukitaka kutongoza/kutongozwa you must be in a right PLACE ,TIME and PIPO kuweza kutongozwa/kutongoza.



Asakute mie mzima wa afya.... na nafurahi kukuona baada ya mda mrefu....

Nimekupata na nimependa maelezo yako.... Ila tu naomba nikuarifu kua kuna watu wamekutana na kutongozana mitandaoni na later wakajuana vema na kuweza kua wapenzi na hata wengine kuoana... What do you say about hawa?
 
Unaweza kulalamika hautongozwi kumbe unamkufuru Mungu.Mwishowe unapata balaa la kutongozwa na waume za watu sijui utasema umelogwa?????.
Lakn nijuavyo mimi kuna age ya kutongozwa kwa sana regardless material things kama elimu,pesa,uzuri,ubaya n.k.Hapo ndio wanawake huwa wanaharibu maisha yao au kuyajenga(it all depends).Kipindi hicho huwa ni lazima kipite na kije cha ukame.Hii Mitongozo ya hapa huwa inakuwa nadra au mingi kutegemea circumstances kama mazingira,elimu n.k.

NB:Nadhani huwa inafika kipindi hata wanaume huwa wanachoka kutongoza kutokana na umri.Kuna watu wanaweza kukataa lakn age ina nafasi kubwa kwa sisi wanadamu katika swala la kuwa active au kupunguza.
 
Hakyanani hapa Ashadii mimi sina mchango manake hizi kesi bana ziko very unique na za kimaajabu. Mfano mimi washkaji zangu enzi izooo walikuwa wanasema wao kutongoza mwanamke mjuba never, na nimeshuhudia jamii sana inasema mwanamke mjuba hatongozeki wala hatongozwi, Lakini bana mimi hakuna kitu naenjoy kama kutongoza mdada mjuba.

Yaani napenda ile nimwambie "mdada umeumbika" halaf yeye ajibu kijuba "ndo umejua leo?" au unamwambia "vipi nikusindikize?" yeye anakwambia "utajijuu, umeskia maandamano ya chadema aya?"
Hakyanani vile vimajibu vinanipa mzuka sana na hawa wadada wana siri flani lakini sitoisimulia leo.

Utamsindikiza vipi mdada yupo ndani ya Range Rover!!??.....
Kwangu mimi binafsi hakuna mwanamke ambaye ni mjuba, tatizo kubwa la wanawake wengi wana mazingira yao ya kuweza kuwa nao karibu then swaga zingine huwa zinajirekebisha automatical, ndio maana unaweza kukaa kwenye vijiwe vyetu wanaume akapita mdada very cute, basi unaweza kumsikia mshikaji anasema huyu demu ni mzuri sana ila jamaa yake ni mshamba fulani tu au falla fulani!........sizitaki mbichi hizi.

Tukumbuke mwanamke yeyote wa kimjini huwezi kuktana naye barabarani eti dada naomba nikusindikize! ni lazima kuwe na mazingira fulani yanayokuweka karibu na Mdada husika then hapa hata akiwa ni mtoto wa Obama ni lazima kieleweke.
 
Blackberry, AshaDii na MJ1.... nyie acheni tu, kutongozwa mnataka, midomo mvute nyie, undenda mdomoni ujae humohumo wakati wa kutongozwa haya

Leo nipo kipovu zaidi ngoja nirudi kulee, naskia kutakua na mabomu ya machozi kwenye thread mojawapo!!!

Nawaacha na hiyo ya enzi zanngu domo zege! hii niliibamba kwa kukopi barua ya bro alimuandikia demu wake enzi hizo
View attachment 49715
 
Blackberry, AshaDii na MJ1.... nyie acheni tu, kutongozwa mnataka, midomo mvute nyie, undenda mdomoni ujae humohumo wakati wa kutongozwa haya

Leo nipo kipovu zaidi ngoja nirudi kulee, naskia kutakua na mabomu ya machozi kwenye thread mojawapo!!!

Nawaacha na hiyo ya enzi zanngu domo zege!
View attachment 49715

MTM si swaga za sitaki nataka hizooo
 
hahaha.... Haya bana! Dah! lol





Asante mzee DC.... Kwa mawazo yangu... Mwanaume ambae hatongozi tongozi naweza sema kua ni "Gentleman" Take note: Unaposema hatongozi tongozi ina maana hatongozi mara kwa mara ila once in a while na mara nyingi akimaanisha ama akiwa kweli willing kua na the lady na sio tu kwa tamaa za ovyo ovyo ama majaribu ya kuona kama atapata.

Alafu DC wanaotafuta wachumba hawatongozi tongozi on the basis of kutafuta uchumba... Atleast that is what I know...


Hapana my ADI,

Marriage fever ikishaingia watu wanatongoza tongoza hovyo kujabu bahati zao..Wanafikia mahali pa kuamini kuwa mwenda bure si mkaa bure,

Babu DC!!
 
Alafu sijaelewa wapi most mumechukulia kua ni raha.....lol.... Jamani inaweza kua raha ama karaha! Hivi umewahi tongozwa na mwanaume king'ang'anizi?? Utalia, utabadilisha njia na kama ana number yako utatupa na kutumia nyingine! lol


Nimesemea kwa wale wanaolalamikia matongozo...........sasa wanalilia nini???
 
I hope wakaka watakusoma na kukuelewa kwa hili.... Hio ulotaja Berry ni moja ya Strategies ya kumwinda mtu na kuhakikisha yupo wavuni as you call it..... lol... Nyingine inabidi tusianike hapa; kama wapenzi wapo humu wasije funguka kichwa na kugundua kukufuata kwake was not his idea but you just planted it.... lol


Really,

I would love to know something as sweet as this from Bibi DC...Bahati mbaya sie tulitafutiwa na wazazi!!

Kwa nini usimgawie kidogo FL1 ampelekee huyo dada anayeteseka kwa kukosa raha ya kuitwa my sweetie na dume???

Babu DC
 
Unaona sasa, watu wote washanijua jina langu ni Natasha, na nilikuwa la 4 mwaka 1994.
Siri zote hadharani.

Nakuharibia kwenye kimbwa unachouza.

Nilitunza kopi justi in kesi posta wangepoteza origino.
 
Back
Top Bottom