Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Unapoelekea ni kupewa digrii ya pili ya kupakwa maweseMimi najisikia vizuri Sana nikitinga chupi zake za bikini (Yani ni raha hatari)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unapoelekea ni kupewa digrii ya pili ya kupakwa maweseMimi najisikia vizuri Sana nikitinga chupi zake za bikini (Yani ni raha hatari)
Acha ushamba wewe, fanya unachopenda usiishi maisha ya kukariri au kupangiwa maisha na watu wengine kwa sababu ya Imani zao za kipuuzi.Unapoelekea ni kupewa digrii ya pili ya kupakwa mawese
HahahaaNapenda sana mke wangu aje avae mpaka viatu vyangu ,vyangu ni vyake
[emoji135] [emoji379] [emoji379] [emoji379] hujipendi weweAnipe mimi huyo binti yake nimpe somo
Mmmh sijui wameipataje!
#Hili nalo TatizoMi hata nikisafiri lazima nichukue nguo kama mbili za wife, nazitundika kwenye chumba nilichofikia. Nikiwa naziona najihisi tu niko home.
[emoji23][emoji23][emoji23] akae makin dalil za mwanzo hzoUnapoelekea ni kupewa digrii ya pili ya kupakwa mawese
Vipi wewe huvaagi??[emoji23][emoji23][emoji23] akae makin dalil za mwanzo hzo
Duuuh siwez vaa chupi za dem wang mazee za nn sasa....uzungu ukizd utatoka nayo had nje sasaVipi wewe huvaagi??
HahahaaDuuuh siwez vaa chupi za dem wang mazee za nn sasa....uzungu ukizd utatoka nayo had nje sasa
Maana ipo ila ngoja mimi ninyamaze kwanza.Mimi kuna mazi angu alikuja kunitembelea almost 2days, alipotaka kuondoka aisee alibeba T-shirt na shati akidai kuwa atakuwa ananikumbuka huko aendako, sikujau alimaanisha nini