Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
why past tense?
it is complicated my sis......
Dah!! ngoja kwanza nitibue mchana wa watu hapa........
@jawlat hivi unazikumbuka kawa??
mwali nimejikuta nataman mikeka ile ya ukili sio hii ya kichina ya siku hizi, halafu ndo uko na tshirt na mzee kapiga kitenge/ khanga kiunoni
basi mwali umeandaa wali wako wa nazi na pande la papa wa kuunga ukamnogensha na ngogwe.
unaupakua wali wako kwenye sahan unatengeneza tobo kati kisha waweka pande lako la papa hapo kati na ngogwe zake haalafu juu wafunika na wali tena ukatengeneza kichuguu.............
yarabi mieee............unamtengea mumeo mkekani unaufunika na kawa iloandikwa "JAMANI KUPENDANA RAHA"
MKEKA nao unasomeka KARIBU MPENZI ................
Jamaniiiiiiiiiiiiiii............................. snowhite malizia bwana aaah!!
.
It is past.....
Hahahah!!!
Hii lugha huwa naipenda haswa kwenye sredi kama hizi...ni wale wateule tu wa ugreti thinka ndio wanaoelewa.
Dah!! ngoja kwanza nitibue mchana wa watu hapa........
@jawlat hivi unazikumbuka kawa??
mwali nimejikuta nataman mikeka ile ya ukili sio hii ya kichina ya siku hizi, halafu ndo uko na tshirt na mzee kapiga kitenge/ khanga kiunoni
basi mwali umeandaa wali wako wa nazi na pande la papa wa kuunga ukamnogensha na ngogwe.
unaupakua wali wako kwenye sahan unatengeneza tobo kati kisha waweka pande lako la papa hapo kati na ngogwe zake haalafu juu wafunika na wali tena ukatengeneza kichuguu.............
yarabi mieee............unamtengea mumeo mkekani unaufunika na kawa iloandikwa "JAMANI KUPENDANA RAHA"
MKEKA nao unasomeka KARIBU MPENZI ................
Jamaniiiiiiiiiiiiiii............................. snowhite malizia bwana aaah!!
.
Heaven on earth sina lakusema mpenzi..maana yote umeshayamaliza...yaani huwa kila ninapovaa hivyo iwe isiwe tutacheza mechi tu
Ndio kusema umejiunga JF ili tu ujibu hiyo post ya Heaven on earth???
What do you wear now? Kanzu yake? :A S 39:
Royce Hongereni..........Heaven on earth sina lakusema mpenzi..maana yote umeshayamaliza...yaani huwa kila ninapovaa hivyo iwe isiwe tutacheza mechi tu
hahaaaa we nae mchokozi........
I wear my cloth....
Mbona haina shida.. Tena inapendezaUmeshawahi kukutana na hili?utajisikiaje/unajiskiaje unavyorud nyumbani unamkuta bibie amevaa shirt/t-shirt/pensi ama surual yako?
Au akaomba kuvaa saa yako wakat anatoka!
Unafikiria nini juu ya mwanamke kama huyo?