Mwanamke kuzaliwa Uchagani tu ni form six!

Unatafuta mchumba wa kichaga au? Naona hiyo staili yako- utawapata tu humu Akina MankaM, Preta, Cantalisia, Miss Chagga na wengine wengi- Lakini asili yao unajua- no problem to - peace resting you! we jitie tu wazimu kuwasifia- watu washa-Stuka kitambooooo dadekiiii


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
my GODness unanijua mie ni nani...? Au mafanikio gani unayaongelea?

Acha kuzingua watu wewe - eti unajua Mie Ni nani? Ili iweje? Kamwambie maneno hayo mke wako...ebooo ! We vipi.....humu Ni full kujiachia hata Ungekuwa unaishi magogoni--- sasa kasage chupa ujimalize....kabisaaa ...!


Sent from my iPhone using JamiiForums
 

Unastahili kuwa ignored....Fuatilia nilikua najibu nini na kwa minajili ipi.Sio sahihi kudandia mijadala ya quote ambayo hujui imetoka wapi....Go get learned
 
Ila wanaua waume zao wakishatajirika au hulijui hilo?
 
Hivi kwani degree ni kitu cha ajabu sana??? Eti la saba ni sawa na mwenye degree?? Unaweza tofautisha mtu mwenye degree na asiye na degree kwa kumuangalia?? Tu?? Duuhh kuna watu watasubiri sana...yan...!!
 

Dah! Ulitoka salama kwa uyo meku kweli.. ?
 
Last edited by a moderator:
heeeee
haya bana.. Asprin Mentor na makaka's wengine hebu pitieni hapa kuna watu wahitaji kupeleka posa kule migombani.

by the way.. kwa post yako ndugu mie ina maana nina PHD .. walahi itakuwa too much kwangu angrrrrr!


:hail::hail::hail:
 
Hivi kwani degree ni kitu cha ajabu sana??? Eti la saba ni sawa na mwenye degree?? Unaweza tofautisha mtu mwenye degree na asiye na degree kwa kumuangalia?? Tu?? Duuhh kuna watu watasubiri sana...yan...!!

hahahaa #team chagga!
 
Tatizo la hao ndugu hawajui kumhandle mume bhana ni wababe sana na hata muda wa kufurah hawana muda wote wanawaza hela
 
Ahsante kwa kukiri kuwa kwenye wizi wamo. Mie kuna mtu alikatazwa kuoa mchaga lakini hakusikia. Matokeo yake kilichomkuta hatakaa asahau.

Acha unafki, taja kilichomtokea!
 

naweza kukubaliana na wewe kwa asilimia 40 na kupingana na wewe kwa asilimia 60.
mkuu kuna kitu kinaitwa nature!

ni factor kubwa sana inayotofautisha watu.
hata mwingereza na mjerumani wanatofautiana japokuwa wote ni wazungu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…