Mwanamke kuzaliwa Uchagani tu ni form six!

Mwanamke kuzaliwa Uchagani tu ni form six!

Unatafuta mchumba wa kichaga au? Naona hiyo staili yako- utawapata tu humu Akina MankaM, Preta, Cantalisia, Miss Chagga na wengine wengi- Lakini asili yao unajua- no problem to - peace resting you! we jitie tu wazimu kuwasifia- watu washa-Stuka kitambooooo dadekiiii


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
my GODness unanijua mie ni nani...? Au mafanikio gani unayaongelea?

Acha kuzingua watu wewe - eti unajua Mie Ni nani? Ili iweje? Kamwambie maneno hayo mke wako...ebooo ! We vipi.....humu Ni full kujiachia hata Ungekuwa unaishi magogoni--- sasa kasage chupa ujimalize....kabisaaa ...!


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Acha kuzingua watu wewe - eti unajua Mie Ni nani? Ili iweje? Kamwambie maneno hayo mke wako...ebooo ! We vipi.....humu Ni full kujiachia hata Ungekuwa unaishi magogoni--- sasa kasage chupa ujimalize....kabisaaa ...!


Sent from my iPhone using JamiiForums

Unastahili kuwa ignored....Fuatilia nilikua najibu nini na kwa minajili ipi.Sio sahihi kudandia mijadala ya quote ambayo hujui imetoka wapi....Go get learned
 
Hivi kwani degree ni kitu cha ajabu sana??? Eti la saba ni sawa na mwenye degree?? Unaweza tofautisha mtu mwenye degree na asiye na degree kwa kumuangalia?? Tu?? Duuhh kuna watu watasubiri sana...yan...!!
 
Hahahah Eli79 unashangaa nini? Mtu anasema mwanamke mmoja wa kichaga ni sawa na wanawake 10 wa kisambaa WENYE AKILI TIMAMU! Na ndivyo wanavyowaza vichwani mwao.... Nimeshaona ndoa nyingi za kutosha za watu wa makabila mengine wanaoolewa na wachaga jinsi wanavyonyanyapaliwa.... Haiwezi kutokea hata kwa bahati mbaya kwa kweli

Dah! Ulitoka salama kwa uyo meku kweli.. ?
 
Last edited by a moderator:
heeeee
haya bana.. Asprin Mentor na makaka's wengine hebu pitieni hapa kuna watu wahitaji kupeleka posa kule migombani.

by the way.. kwa post yako ndugu mie ina maana nina PHD .. walahi itakuwa too much kwangu angrrrrr!


:hail::hail::hail:
 
Hivi kwani degree ni kitu cha ajabu sana??? Eti la saba ni sawa na mwenye degree?? Unaweza tofautisha mtu mwenye degree na asiye na degree kwa kumuangalia?? Tu?? Duuhh kuna watu watasubiri sana...yan...!!

hahahaa #team chagga!
 
Tatizo la hao ndugu hawajui kumhandle mume bhana ni wababe sana na hata muda wa kufurah hawana muda wote wanawaza hela
 
Kwa muktadha huu ina maana kwa binti aliyesoma hadi kidato cha nne ni Profesa kabisa...sikiliza ndugu

Kwa wakati na zama tunazoishi sasa ni mtu mwenye ram ndogo kichwani tu anayeweza kuishi kutegemea historia...
Utakubaliana nami kwamba mafanikio na kutokufanikiwa kwa mtu ni kutokana na kutokuwa na vipaumbele kwenye mambo yake ya kila siku na ikiwa ana mipangilio basi ni ile ya bora siku ziende...

Tasnifu yako imekaa kiujumla sana na sampuli ulizotumia nadhani ni mbili kutoa mawazo yako haya...
Ni vyema wakati mtu anatafuta mwenza akawa na sababu za ni mwenza wa aina gani anataka...unaweza kumlaumu mwenzio kwamba amekosa maendeleo kwa kuwa kaoa mwanamke mpenda disco,usichokijua ni kwamba lengo la huyu bwana ilikuwa kuishi na dancer! Oa hata benki kama inaoleka,ila kama huna discipline ya maisho uone utaishia vipi...

naweza kukubaliana na wewe kwa asilimia 40 na kupingana na wewe kwa asilimia 60.
mkuu kuna kitu kinaitwa nature!

ni factor kubwa sana inayotofautisha watu.
hata mwingereza na mjerumani wanatofautiana japokuwa wote ni wazungu.
 
Back
Top Bottom