Mwanamke kuzaliwa Uchagani tu ni form six!


Mkuu kuna sababu nyingine moja ambayo ni hii huwa hawaolewi na mtu asiyekua nacho aisee, ni wachache sana wanaoanza na mtu ktk kusota, wanaijua ela so sio ukiona kila aliyeoa mchaga ana mafanikio ndio ujue tu sabab mwanamke jaribu fatilia, kwengine utakuta mwanaume alikua anajiweza tokea kabla hajaoa so Mchaga alivutika na mshiko wa mume.
Note : Hapo juu Sina nia ya kuwasema vibaya mabinti wa kichaga
 
Mafanikio ni subjective term....To cut the story short...Huu ni ulimbukeni tu wa wanaojiita wachaga....Mafanikio yako kwa kila mtu anaeweza kuiona fursa na kuitumia vyema.......Nina girlfriend Mgogo

Aah mkuu wee...sisi wengine hatuna macho ya kuona fursaaa....tukalage baho....
 
naona unawatafutia dada zako ...tangazo hili kama hujajua.
 

sasa mtu kama wew nikikwambia ms..nge nimekuonea? kwa hyo unataka kusema wachaga wote wana maisha mazur kuliko watu wa makabila yote? hakuna wanaolala chini kwa kukosa godoro
 
sasa mtu kama wew nikikwambia ms..nge nimekuonea? kwa hyo unataka kusema wachaga wote wana maisha mazur kuliko watu wa makabila yote? hakuna wanaolala chini kwa kukosa godoro

Mkuu....wachaga wote wanaishi maghorofanii...kwani we huoni?
 
sasa mtu kama wew nikikwambia ms..nge nimekuonea? kwa hyo unataka kusema wachaga wote wana maisha mazur kuliko watu wa makabila yote? hakuna wanaolala chini kwa kukosa godoro

Tuheshimiane ctaki matusi yako wewe usiyefunzwa huoni haya kuandka upuzi wako jianaume zma kutukana kwanza nani kasema ni wote mbona umepanik sana au kwa vle tu ni wachaga acha chuki binafsi we inayo kufanya ukose heshma umeandka nonsense uko empty kuchwani mxiiiiu
 

sasa mwanamke kama wewe tutegemee utakua na uwezo wa kumshauri mumeo ishu za maana zaidi ya kusubiri akusanye mali umuue?
 
sasa mwanamke kama wewe tutegemee utakua na uwezo wa kumshauri mumeo ishu za maana zaidi ya kusubiri akusanye mali umuue?

Nani kakwambia mi mwanamke we low iq inakusumbua wewe sio bure uko empty kichwani ka nini nani anasubiri kukusanya nafanya na work hard hayo ya kuua njaa na ushahdi cio kuongea fealings rather than reality
 
Nani kakwambia mi mwanamke we low iq inakusumbua wewe sio bure uko empty kichwani ka nini nani anasubiri kukusanya nafanya na work hard hayo ya kuua njaa na ushahdi cio kuongea fealings rather than reality

wewe sio mwanamke?
 
duh jf kuna mengi, kwa hyo wewe sio mwanamke? sasa mbona tabia zako za kike kike

ni msichana na usichana wake.
kazi kwako sasa kumpiga mistari.
ujue deal sana kukutana na wadada wa hivi, wako wachache sana.

cheza fair mkuu chukua huyu mtoto.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…