Mwanamke kuzaliwa Uchagani tu ni form six!

Mwanamke kuzaliwa Uchagani tu ni form six!

Kimaisha! wakuu niwaambie wanawake wakichagga ni quite different from others. Ukioa mwanamke wa kichagga darasa la saba hana tofauti na mwanamke mwenye digrii from another tribe.

Nayasema haya baada yakuona mengi sana, katika haya maisha. Lots of chagga guys waliokuwa na maisha mazuri, then wakaoa wadada tofauti na kabila lao, wameenda chini kimaendeleo.

Itokee bahati mbaya jamaa atwaliwe, ndiyo kila kitu kinakufa chunguza utaona hata wewe. Kwa wale waliowapata wakichagga at least wanamaintain na mafanikio kwenda juu.

Hata wanaume wakutoka maeneo mengine, akibahatika kuoa mchagga ni kwamba kwa kiasi kikubwa maisha wanayamaintain, na hutasikia things goes down hata jamaa akiondoka duniani.

Najua hapa kuna watu wa aina mbalimbali na inawapasa mkubaliane na hali, wanawake wakichagga wako tofauti kabisa kabisamna wanawake wa makabila mengine in real sense of success.

Mkuu kuna sababu nyingine moja ambayo ni hii huwa hawaolewi na mtu asiyekua nacho aisee, ni wachache sana wanaoanza na mtu ktk kusota, wanaijua ela so sio ukiona kila aliyeoa mchaga ana mafanikio ndio ujue tu sabab mwanamke jaribu fatilia, kwengine utakuta mwanaume alikua anajiweza tokea kabla hajaoa so Mchaga alivutika na mshiko wa mume.
Note : Hapo juu Sina nia ya kuwasema vibaya mabinti wa kichaga
 
Mafanikio ni subjective term....To cut the story short...Huu ni ulimbukeni tu wa wanaojiita wachaga....Mafanikio yako kwa kila mtu anaeweza kuiona fursa na kuitumia vyema.......Nina girlfriend Mgogo

Aah mkuu wee...sisi wengine hatuna macho ya kuona fursaaa....tukalage baho....
 
naona unawatafutia dada zako ...tangazo hili kama hujajua.
 
Mume gani wenye hela unaowaongelea labda Bilgate hao wakinga cjui nani huwezi ku compare wewe degree na standard seven wap na wap which criteria did you use hafu acha matusi kuandka vzuri hata kama hupendi kitu utabadilika jinsia hafu acha inferiority complex just accept yourself with ua ethnic

sasa mtu kama wew nikikwambia ms..nge nimekuonea? kwa hyo unataka kusema wachaga wote wana maisha mazur kuliko watu wa makabila yote? hakuna wanaolala chini kwa kukosa godoro
 
sasa mtu kama wew nikikwambia ms..nge nimekuonea? kwa hyo unataka kusema wachaga wote wana maisha mazur kuliko watu wa makabila yote? hakuna wanaolala chini kwa kukosa godoro

Mkuu....wachaga wote wanaishi maghorofanii...kwani we huoni?
 
sasa mtu kama wew nikikwambia ms..nge nimekuonea? kwa hyo unataka kusema wachaga wote wana maisha mazur kuliko watu wa makabila yote? hakuna wanaolala chini kwa kukosa godoro

Tuheshimiane ctaki matusi yako wewe usiyefunzwa huoni haya kuandka upuzi wako jianaume zma kutukana kwanza nani kasema ni wote mbona umepanik sana au kwa vle tu ni wachaga acha chuki binafsi we inayo kufanya ukose heshma umeandka nonsense uko empty kuchwani mxiiiiu
 
Tuheshimiane ctaki matusi yako wewe usiyefunzwa huoni haya kuandka upuzi wako jianaume zma kutukana kwanza nani kasema ni wote mbona umepanik sana au kwa vle tu ni wachaga acha chuki binafsi we inayo kufanya ukose heshma umeandka nonsense uko empty kuchwani mxiiiiu

sasa mwanamke kama wewe tutegemee utakua na uwezo wa kumshauri mumeo ishu za maana zaidi ya kusubiri akusanye mali umuue?
 
sasa mwanamke kama wewe tutegemee utakua na uwezo wa kumshauri mumeo ishu za maana zaidi ya kusubiri akusanye mali umuue?

Nani kakwambia mi mwanamke we low iq inakusumbua wewe sio bure uko empty kichwani ka nini nani anasubiri kukusanya nafanya na work hard hayo ya kuua njaa na ushahdi cio kuongea fealings rather than reality
 
Nani kakwambia mi mwanamke we low iq inakusumbua wewe sio bure uko empty kichwani ka nini nani anasubiri kukusanya nafanya na work hard hayo ya kuua njaa na ushahdi cio kuongea fealings rather than reality

wewe sio mwanamke?
 
duh jf kuna mengi, kwa hyo wewe sio mwanamke? sasa mbona tabia zako za kike kike

ni msichana na usichana wake.
kazi kwako sasa kumpiga mistari.
ujue deal sana kukutana na wadada wa hivi, wako wachache sana.

cheza fair mkuu chukua huyu mtoto.
 
Back
Top Bottom