Mwanamke mjamzito kupata kichefuchefu na kutapika: Chanzo na tiba yake

Mwanamke mjamzito kupata kichefuchefu na kutapika: Chanzo na tiba yake

Nashukuru kwa ushauri na kunielewa pia. Mnisamehe nilipokosea

Karibu tena hakuna mkamilifu kila mmmoja ana mapungufu yake mungu akubariki ujifungue salama na uanze maisha mapya ya mzazi.
 
Nashukuru kwa ushauri nimeolewa ila mume wangu yupo mbali nami kikazi.
Ata kama yuko mbali mpenzi vumilia..kuna watu wanateseka bedrest mpaka miezi 9..kila la kheri yatakwisha tu ukisikia kuwa mama ndio hivyo..
 
Tena wanaokushauri utowe mimba achana nao? hivi wenyewe mama zao wangetoa mimba wenyewe wangekuwepo? watu kila siku wanalilia watoto lakini hawapati lakini wewe Mungu aliyejujalia unaona ni kero kwako. Vumilia hiyo ni hali ya muda tu.
 
Pole dada yangu, mimi ni mume na mke wangu alikuwa na matatizo kama hayo kwenye ujauzito wa mtoto wetu wa kwanza mpaka mimi mwenyewe nilikonda jinsi nilivyokuwa namuonea huruma. So I can feel your pain.

Tiba: Kula ginger biscuit, ginger tea na tafuna ginger yenyewe huko kutapika na kichefuchefu kitaisha. Tena anza sasa hivi usisubiri muda upite, halafu baada ya nusu saa tupe feedback. Hii ni tiba tosha ya hili tatizo na kesho kazini utarudi. Nawakalisha
 
Pole sana kwa hali hiyo uliyonayo,ni hali ya mpito tu, jaribu kuwa unatafuna tangawizi mara kwa mara inasaidia.
 
pamoja na mawazo mazuri pengine unayoweza kuyapata hapa; pia mshirikishe mmeo na pata pia ushauri wa daktari kama ni hatari kuendelea kuwa nayo; vinginevyo hakuna atakayekushauri uitoe......
 
Kinachosababisha kutapika, huwa kuna kitu kamaa makohozi yanakaa kooni au kwenye mfuko wa chakula juu juu. Pia huwa kuna nyongo inakaa maeneo hayo hayo.

Ili chakula kikae lazima hivyo vitu viwili vitoke. Ukiamka asubuhi kabla hujala kitu, piga mswaki na kuupitisha kooni. Utatapika sana, tena sana. Pitisha hadi usikie koo lote ni safi, baaada ya hapo unaweza kula chochote na hutakaa utapike.

Kama ni kuchoma sindano ama dawa utakunywa ngapi? Ukijua utamu wa kukata kiuno jua na kubeba masahibu yake, ushakua hivyo si mtoto tena.
 
Basi mie napenda hiyo karaha ya miezi mitatu ya mwanzo, inajenga bond sana na mtoto.
 
Habari zenu

Wapendwa naujauzito wa mwezi na nusu,inanisumbua natapika sana yaani
kula cwezi na nikila natapika.watu wananishauri nitoe kwani naweza
poteza kazi kwa hali hiyo.jamani kuna tiba kwa hili tatizo.nisaidieni
sipend kuitoa.

Kweli usikubali kuuwa ni bora ukawaona wataalam wakakusaidia
 
Unataka kuitoa uliolewa ili? Ulilengesha ili? Muombe Mungu msamaha kama uliwaza hata kutaka kuitoa
 
Kinachosababisha kutapika, huwa kuna kitu kamaa makohozi yanakaa kooni au kwenye mfuko wa chakula juu juu. Pia huwa kuna nyongo inakaa maeneo hayo hayo.

Ili chakula kikae lazima hivyo vitu viwili vitoke. Ukiamka asubuhi kabla hujala kitu, piga mswaki na kuupitisha kooni. Utatapika sana, tena sana. Pitisha hadi usikie koo lote ni safi, baaada ya hapo unaweza kula chochote na hutakaa utapike.

Kama ni kuchoma sindano ama dawa utakunywa ngapi? Ukijua utamu wa kukata kiuno jua na kubeba masahibu yake, ushakua hivyo si mtoto tena.

Asante ndugu,asante sana
 
Don't be a killer!
Don't worship your kazi plz
What is KAZI mbele ya MAISHA??
 
Unataka kuitoa uliolewa ili? Ulilengesha ili? Muombe Mungu msamaha kama uliwaza hata kutaka kuitoa

Naamini Mungu kanisamehe ila nisamehe nanyi..nateseka jamani nateseka hakika nateseka ila naamin kwa ushauri wenu solution imepatikana
 
Pole dada yangu, mimi ni mume na mke wangu alikuwa na matatizo kama hayo kwenye ujauzito wa mtoto wetu wa kwanza mpaka mimi mwenyewe nilikonda jinsi nilivyokuwa namuonea huruma. So I can feel your pain.

Tiba: Kula ginger biscuit, ginger tea na tafuna ginger yenyewe huko kutapika na kichefuchefu kitaisha. Tena anza sasa hivi usisubiri muda upite, halafu baada ya nusu saa tupe feedback. Hii ni tiba tosha ya hili tatizo na kesho kazini utarudi. Nawakalisha

Asante kwa ushauri nimefarijika nitafanya hivyo.
 
Back
Top Bottom