Pole dada yangu, mimi ni mume na mke wangu alikuwa na matatizo kama hayo kwenye ujauzito wa mtoto wetu wa kwanza mpaka mimi mwenyewe nilikonda jinsi nilivyokuwa namuonea huruma. So I can feel your pain.
Tiba: Kula ginger biscuit, ginger tea na tafuna ginger yenyewe huko kutapika na kichefuchefu kitaisha. Tena anza sasa hivi usisubiri muda upite, halafu baada ya nusu saa tupe feedback. Hii ni tiba tosha ya hili tatizo na kesho kazini utarudi. Nawakalisha
Tena wanaokushauri utowe mimba achana nao? hivi wenyewe mama zao wangetoa mimba wenyewe wangekuwepo? watu kila siku wanalilia watoto lakini hawapati lakini wewe Mungu aliyejujalia unaona ni kero kwako. Vumilia hiyo ni hali ya muda tu.
Pole dada yangu, mimi ni mume na mke wangu alikuwa na matatizo kama hayo kwenye ujauzito wa mtoto wetu wa kwanza mpaka mimi mwenyewe nilikonda jinsi nilivyokuwa namuonea huruma. So I can feel your pain.
Tiba: Kula ginger biscuit, ginger tea na tafuna ginger yenyewe huko kutapika na kichefuchefu kitaisha. Tena anza sasa hivi usisubiri muda upite, halafu baada ya nusu saa tupe feedback. Hii ni tiba tosha ya hili tatizo na kesho kazini utarudi. Nawakalisha
Kinachosababisha kutapika, huwa kuna kitu kamaa makohozi yanakaa kooni au kwenye mfuko wa chakula juu juu. Pia huwa kuna nyongo inakaa maeneo hayo hayo.
Ili chakula kikae lazima hivyo vitu viwili vitoke. Ukiamka asubuhi kabla hujala kitu, piga mswaki na kuupitisha kooni. Utatapika sana, tena sana. Pitisha hadi usikie koo lote ni safi, baaada ya hapo unaweza kula chochote na hutakaa utapike.
Kama ni kuchoma sindano ama dawa utakunywa ngapi? Ukijua utamu wa kukata kiuno jua na kubeba masahibu yake, ushakua hivyo si mtoto tena.
Mh..jf we siku imeanza tulivu ya alhamic..umeolewa?ebu jiulize mama yako angetoa mimba yako ungekuwa hapa leo..watu wanalilia watoto kila siku wewe unataka kutoa..kaa utulie lea hiyo mimba ni miezi 3 tu ya misukosuko yote yatakwisha..ukiona shida kunywa vitu vichachu..
Kinachosababisha kutapika, huwa kuna kitu kamaa makohozi yanakaa kooni au kwenye mfuko wa chakula juu juu. Pia huwa kuna nyongo inakaa maeneo hayo hayo.
Ili chakula kikae lazima hivyo vitu viwili vitoke. Ukiamka asubuhi kabla hujala kitu, piga mswaki na kuupitisha kooni. Utatapika sana, tena sana. Pitisha hadi usikie koo lote ni safi, baaada ya hapo unaweza kula chochote na hutakaa utapike.
Kama ni kuchoma sindano ama dawa utakunywa ngapi? Ukijua utamu wa kukata kiuno jua na kubeba masahibu yake, ushakua hivyo si mtoto tena.
Habari zenu
Wapendwa naujauzito wa mwezi na nusu,inanisumbua natapika sana yaani kula cwezi na nikila natapika.watu wananishauri nitoe kwani naweza poteza kazi kwa hali hiyo.jamani kuna tiba kwa hili tatizo.nisaidieni sipend kuitoa.
Habari zenu
Wapendwa naujauzito wa mwezi na nusu,inanisumbua natapika sana yaani kula cwezi na nikila natapika.watu wananishauri nitoe kwani naweza poteza kazi kwa hali hiyo.jamani kuna tiba kwa hili tatizo.nisaidieni sipend kuitoa.
kuitoa ni kuua,hicho ni kiumbe chako mwenyewe...
Dada samahani kwa lugha chafu nitakayoitumia....
Hivi una akili timamu???
Yaan unathamini kazi kuliko ndoa yako na uzazi wako?? Wanawake wengine hawalali usiku kucha, wanapoteza pesa na muda kutafuta ujauzito wewe unataka utoe kisa kutapika???? Je kama ndiye mtoto pekee uliyepangiwa kumzaa itakuwaje?? Ndio wale wale wanaishia kwa waganga wakitafuta mchawi kumbe wamejichawia wao wenyewe!!!
Huo ni upepo tu utapita... Hao wanaokushauri utoe ni wanafiki, toa uone cha moto utakiona. Unadhani mimba ni lelemama eeh.... Kama hukuwa tayari kuolewa bora usingekubali kuolewa na kumpotezea kijana wa watu muda.
Ulidhani unaolewa kwenda kuwa pambo la nyumba ya huyo mwanaume?? Unadhani ukitoa hiyo mimba, afu ukaja kubeba nyingine hutopatwa hayo maswahibu??????
Nimekuchukia aiseeeee........
Ungekuwa mdogo wangu wallah ningekukana!!!!!!!
Habari wana JF,
Mpenzi wangu ana mimba ya miezi mitatu. Tatizo mara nyingi asubuhi huwa anatapika hata kama hajala chochote na jioni pia huwa anatapika akionja chakula tu. Hii kitu inaniumiza sana, maana siku nyingine analala bila kula. Mwenye ujuzi anifahamishe, nini tatizo?
kama yuko arusha aende sent thomas hosp.akaonane na dk.Msuya atapewa dawa
Salaam wakuu,mke wangu ana ujauzito wa mwezi 1,lakini ana matatizo mawili yanayomsumbua sana,kichefuchefu muda wote hujisikia kutapika,mdomo kujaa mate muda wote,je kuna dawa yeyote kuzuia hali hii isiendelee?naomba msaada wa mawazo tafadhali.