Pole sana , hiyo ni hali y akawaida, usitoe mimba ni dhambi, nenda hospitali ya Serikali iliyokaribu na wewe jieleze kwa Dr utasaidiwa tu,
Mimi nilikuwa na tatizo kama hilo miezi mitatu iliyopita, sasa niko fiti , Kunadawa inaitwa NOSIC na nyingine ni Domperidon ( sina hakika na spelling) zitakusaidia sana, bei ni Tshs 2,000/=
nenda kamuone Dr usinywe dawa bila kuonana na Dr, kwa kipindi hicho ni hatari kujinywea dawa bila ushauri wa Dr, Pole sana natumaini ukienda kwa Dr utatulia na kazini utaenda vizuri tu. Mungu akusaidie pole sana