Fixed Point
JF-Expert Member
- Sep 30, 2009
- 11,304
- 12,746
Mimi siyo daktari..... lakini nakumbuka wakati wa ujauzito wa kwanza nilipatwa na hiyo hali, ilinitesa sana. nakumbuka daktari wangu aliniambia hiyo hali itakuwepo mpaka angalau nimalize ile robo ya kwanza, na kweli ilikuwa hivyo. Nakumbuka siku moja nilimlazimisha dada mmoja muuzaji wa duka la madawa anichome sindano ya kuzuia kutapika maana niliona kama siku zangu ndo zimeisha...... mdada wa watu ilimbidi avunje masharti ya ofisi yake na kunichoma sindano.
Daktari wangu alinishauri kutumia dawa za kuzuia kutapika kila siku asubuhi kabisa nikiamka tu. kwa hiyo nilikuwa nafanya hivyo. Nikiamka tu dawa, then napumzika kidogo halafu napiga mswaki, napata breakfast. nilikuwa nikifanya hivyo kweli sitapiki siku nzima.
Daktari wangu alinishauri kutumia dawa za kuzuia kutapika kila siku asubuhi kabisa nikiamka tu. kwa hiyo nilikuwa nafanya hivyo. Nikiamka tu dawa, then napumzika kidogo halafu napiga mswaki, napata breakfast. nilikuwa nikifanya hivyo kweli sitapiki siku nzima.