Mwanaume halaumiwi wala kujilaumu kwa kuacha kula kiumbe mwanamke.. unatakiwa ujisifieHuyu mwanamke tulimuheshimu sana hapa ofisini (alikuwa secretary wetu) yaani lunch na break fast tunamtoa karibuni kila siku sisi wanaume tofauti tofauti na hakuna alie mtongoza maana yeye kwanza ni mke wa mtu tunamheshimu na sisi bado ma single .
Sasa yeye kahamishwa kitengo kapelekwa ofisi nyingine sehemu nyingine huko ila ofisi ni moja kwa kweli hicho tulichosikia kwa wenzetu anatangaza huko kinatuuma sana yaani ametudharau sana hadi najilaumu kwa nini nimemuacha.
Nyie wanawake mnaofanya ofisi moja wa wanaume ukiheshimiwa hapo ofisini jiheshimu sio kwamba tunashindwa kuwaburuza.
Haka ka thread kana harufu ya uzinifu! We tega pua vizuri utaniambia. Duh! Watu bana!Mwanaume halaumiwi wala kujilaumu kwa kuacha kula kiumbe mwanamke.. unatakiwa ujisifie
Tumejipanga hapa ofisi lazma wote tupige ili kumkomoaWanawake bwana, ukimtongoza akakukatalia anaanza kukutangaza unabaki na aibu lakini pia usipomtongoza na pia anakutangaza pale nimeonyesha kila dalili hamna mwanaume pale.
Hawa viumbe wanajijua wenyewe
Katuaharibia na sisi tutamla tuu"kusikia kwa mtu wa tatu"
"Fununu inayomhusu mke wa mtu mmoja"
"Kuhitimisha wote wako hivyo"..
Kuna shida mahali
Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app