Mwanamke mnayefanya kazi ofisi moja anakutangazia mabaya kwa wenzake usipomtongoza

Mwanamke mnayefanya kazi ofisi moja anakutangazia mabaya kwa wenzake usipomtongoza

Yaa ni kweli kabisa
Mfano sisi tunaofanya kazi serikalini tulisomea utumishi mapenzi hayaruhusiwi na ulevi eneo la kaza mkikutwa ni hatar na unajua penzi likichanganya mnaweza jiachia mi binafsi kwa muundo wa ofisi zetu nahisi kuna hata cctv camera kuna supervision ya hatari hao ma HR mara principal
 
Huyu mwanamke tulimuheshimu sana hapa ofisini (alikuwa secretary wetu) yaani lunch na break fast tunamtoa karibuni kila siku sisi wanaume tofauti tofauti na hakuna alie mtongoza maana yeye kwanza ni mke wa mtu tunamheshimu na sisi bado ma single .

Sasa yeye kahamishwa kitengo kapelekwa ofisi nyingine sehemu nyingine huko ila ofisi ni moja kwa kweli hicho tulichosikia kwa wenzetu anatangaza huko kinatuuma sana yaani ametudharau sana hadi najilaumu kwa nini nimemuacha.

Nyie wanawake mnaofanya ofisi moja wa wanaume ukiheshimiwa hapo ofisini jiheshimu sio kwamba tunashindwa kuwaburuza.
Hayo hata mimi yameni kuta wiki hii hii tu j.4

MTU MWENYEWE NI JIMAMA NAMIMI BADO SERENGETI BOYS'.


mpaka kaninunia, naweza mbona kanizidi miaka karibu.10 LEO KWELI NIMMIMINIE MBEGU mdomoni kweli?
ILI KUZIBA DOMO LAKE.....???

wanawake wa hivi basi tu

Sent from my SM-J700H using JamiiForums mobile app
 
Hayo hata mimi yameni kuta wiki hii hii tu j.4

MTU MWENYEWE NI JIMAMA NAMIMI BADO SERENGETI BOYS'.


mpaka kaninunia, naweza mbona kanizidi miaka karibu.10 LEO KWELI NIMMIMINIE MBEGU mdomoni kweli?
ILI KUZIBA DOMO LAKE.....???

wanawake wa hivi basi tu

Sent from my SM-J700H using JamiiForums mobile app
Hayo maneno anatomwaga huko kila tukifikiria hatupati jibu.
Pole sana ndugu
 
Mfano sisi tunaofanya kazi serikalini tulisomea utumishi mapenzi hayaruhusiwi na ulevi eneo la kaza mkikutwa ni hatar na unajua penzi likichanganya mnaweza jiachia mi binafsi kwa muundo wa ofisi zetu nahisi kuna hata cctv camera kuna supervision ya hatari hao ma HR mara principal
Sio kwenu tuu ofisi yoyote ya serikal haitakiwi hilo
 
Back
Top Bottom