Mwanamke mnayefanya kazi ofisi moja anakutangazia mabaya kwa wenzake usipomtongoza

Mwanamke mnayefanya kazi ofisi moja anakutangazia mabaya kwa wenzake usipomtongoza

Mi binafsi niko na mademu kibao wakali ila sijakuja kumtongoza hata mmoja mwaka sasa tunatazaman bora wanidharau kuliko kuliko nyodo wanajiona mi mgumu mademu zangu kitaa
Shida kukutangazia mbaya kwa madem wengine
 
Kuna wake za watu wawili tuliokuwa tukiishi kwenye nyumba moja, apartments. Nililetewa chakula na maji,nilipata attention zote toka kwao. Niliwaheshimu Kama mashemeji. Baadae nikaleta mtu ndani.

Tokea hapo nasikia shudu tu wananisema kwenye vijiwe vyao.
Umeona sasa kumbe walitaka wao
 
Ndomana mm mwanamke akionionyesha kunijali NATONGOZA ...Bora akatae sitapungukiwa kitu lkn kuwaacha acha mdo madhara yake hayaaa.
Yani hayo maneno anayomwaga huko ni balaa
 
kuna moja linamitaaaaako halafu bayaaaa liliwahi kunigaanda nikalikimbia kila kona linanighasi mpaka likaamua kunichafua eti sipigi show , nikaamua kula mshaji wake lakini bado tu likawa linaendelea kuja tu, kuna siku nikalichana live mbele ya watu tangu sikuhiyo adabu na heshima , haya makitu wakati mwingine ukiyaendekeza yatakusumbua
 
Mi ndio maana huwa natongoza tu ukipita anga zangu sijali nitapata au nitachomolewa.
 
Back
Top Bottom