Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 24,514
- 65,521
Kuliko niwe kama mange heri niwe km miminimamaBora mifupa kama ya Mange ila sio manyama uzembe. No offence ila mwili kama wako mie big NO.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuliko niwe kama mange heri niwe km miminimamaBora mifupa kama ya Mange ila sio manyama uzembe. No offence ila mwili kama wako mie big NO.
Ziwa furushi....zaidi ya pale hapana kwa kweli [emoji3][emoji3]
Au kama alivyo Wema sahivi.. Aah vimiguu kama miwa.
Unene siupendi hata robo...bora mwili wa wastani.
Ila unene wa shapeless, tumbo tumbo, kono kono, kiuno hakijulikani kimeanzia wapi, tako lipo lipo tu, ziwa limedondoka mpaka bra inagoma kukusupport me hapana bora niwe kama Mange tu
😀😀Sasa hivi tumbo limeisha hadi raha nimefanya mazoezi nimepungua kidogo ila tumbo limeisha
Nilikuwaga mwembamba sana napulizwa na upepo nilikuwa naitwa ".... Kipepeo" nilivyofikisha miaka 15 jamani sijui hata nilifutukia wapi
Kuliko niwe kama mange heri niwe km miminimama
mtafute wanene wenzenu muishi naoKwahyo sisi wanene tuende wapi ss
Wanene wenzeru wanapenda vimbaumbaumtafute wanene wenzenu muishi nao
Hajajua huyo
Dereva bajaji wa mpwapwa?Mimi sipendi mwanaume mwenye kitambo...napenda mwanaume Slim...Yaaani ukiwa kibonge usinitongeze...navutiwa Sana na wanaume wenye miili ya kawaida Kama my luv wangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanawake wenye mvuto wengi wanene...sio matukunyema ila wale wanenwaliojazia.
Kwahyo sisi wanene tuende wapi ss
itoshe kusema, upele humuota asiye na kucha. bilashaka umeelewaKwahyo sisi wanene tuende wapi ss
najua sampuli zote ushapitamo unajua bora nani tehteh. .just kiddingKho' Kho' Kho'
Nimeelewa ula sijaelewa kwann ww umesema hvitoshe kusema, upele humuota asiye na kucha. bilashaka umeelewa
Patadunda
Hujasahau tuDereva bajaji wa mpwapwa?
Weka tena tangazoLabda nitapata mume 🤣🤣🤣🤣 nimekuwa msupuu hadi raha
Tafuta mnene mwenzio 😂