fimboyaukwaju
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 2,977
- 3,798
kwamba?Nipigie pande
Weka namba yake hapa km hujahudhulia kwenye harusi yake kesho kutwa, chura yupo?kwamba?
Weka namba upate shemejiNilishangaa mdada mzuri kama huyo kukosa mume,kweli hata mie roho inaniuma sana
Bila ya ruhusa yake siwezi kuweka nambaWeka namba upate shemeji
jamani ujue mie ni babu sasa hiyo lugha ya chura kwangu sio sawaWeka namba yake hapa km hujahudhulia kwenye harusi yake kesho kutwa, chura yupo?
Kwa hio hutaki shemeji haya chura yupo?Bila ya ruhusa yake siwezi kuweka namba
Mimi nimeuliza Babu chura yupo hayupo?jamani ujue mie ni babu sada hiyo lugha ya chura kwangu sio sawa
Nataka mkekwamba?
ntamuuliza kesho akikubali ntakupa namba yakeNataka mke
Upole si sababu ya Mtu kuwa Binadamu, kinyume chake ni sawa na Mtu aliyezaliwa na ukarimu ila kihulka ni Mkali au Mkorofi.Niliwahi kufundisha chuo kikuu kimoja hapa Tanzania,nilikuwa na mwanafunzi mmoja,ni mpole,mkimya,hana makuu,hanywi pombe,haendi out,ni mtulivu sijapata kuona.Ni mkristo lakini huvaa,ushungi kila siku na darasani alikuwa wastani tu.Akamaliza na alipata kazi mji huohuo aliposomea,baada ya miaka 2 nilienda kumtembelea,alipopanga,nilimkuta na sifa zake zilezile,niliongea nae sana na akaniambia kuwa mpaka sasa hajapata mchumba japo anetafuta sana mwenza na anasali kila siku.Nilishangaa mdada mzuri kama huyo kukosa mume,kweli hata mie roho inaniuma sana
wale chura wanaokaa kwenye maji?Mimi nimeuliza Babu chura yupo hayupo?
ha ha umenichekesha hicho kiingerezaUpole si sababu ya Mtu kuwa Binadamu, kinyume chake ni sawa na Mtu aliyezaliwa na ukarimu ila kihulka ni Mkali au Mkorofi.
Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
Hicho hicho kiingereza ndicho kimenipatia kibarua cha usafi huku Mwabepande nchi ya kusadikika.ha ha umenichekesha hicho kiingereza
ni sawa tu mjukuu wanguHicho hicho kiingereza ndicho kimenipatia kibarua cha usafi huku Mwabepande nchi ya kusadikika.
Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
Wewe ndo mtu wa maaanantamuuliza kesho akikubali ntakupa namba yake
Keshapata mumeaanze kujitoa out na kuchangamana na watu