Mwanamke mpole na mtulivu sana

Mwanamke mpole na mtulivu sana

Niliwahi kufundisha chuo kikuu kimoja hapa Tanzania,nilikuwa na mwanafunzi mmoja,ni mpole,mkimya,hana makuu,hanywi pombe,haendi out,ni mtulivu sijapata kuona.Ni mkristo lakini huvaa,ushungi kila siku na darasani alikuwa wastani tu.Akamaliza na alipata kazi mji huohuo aliposomea,baada ya miaka 2 nilienda kumtembelea,alipopanga,nilimkuta na sifa zake zilezile,niliongea nae sana na akaniambia kuwa mpaka sasa hajapata mchumba japo anatafuta sana mwenza na anasali kila siku.Nilishangaa mdada mzuri kama huyo kukosa mume,kweli hata mie roho inaniuma sana
dawa ni kutoa ushungi tu ili ifahamike ana chogo ama la 🐒
 
Ushungi umekimbiza wachumba

Ukute Waislam walidhani ni mwenzao kuuliza kumbe sio na hana mpango wakubadili dini

Wakristo wanadhan muislam wanampitia mbali hawataki harakati za kubadilishana dini
Huyo ni mkatoliki na ni muumini mwaminifu ni wale ambao wanavaa rozari hivyo waislamu hawawezi kudhani ni mwislamu kwani rozari inaonekana waziwazi
 
Upole si sababu ya Mtu kuwa Binadamu, kinyume chake ni sawa na Mtu aliyezaliwa na ukarimu ila kihulka ni Mkali au Mkorofi.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
Well described, Mi ni mkarimu, ila kihulka ni mkali na mkorofi!

Usipojua kuchanganua hulka, you will get fooled easily.

Humanity is work.
 
Umeniwahi
unajua,in a way yes ni tangazo,ila najaribu kuonesha kuwa ndoa kwa sasa ni ngumu mno,hata kwa wadada wenye sifa nyingi nzuri,ila mimi sipo hapa kumuunganisha na mtu ndio maana,mtu akiomba namba ni mpaka huyo dada anipe ruhusa
 
Back
Top Bottom