Mwanamke mwenye akili nyingi anahitajika kama Mke

Mwanamke mwenye akili nyingi anahitajika kama Mke

Mimi ni kijana wa kitanzania ninayefikilia kujiajili. Umri ni miaka28.. Mrefu wastani..

Dhumuni la kuleta tangazo hili hapa, ni kuwa. Nimekaa nikafiliki. Palipo na mafanikio ya Mwanaume yeyote. Basi kunanguvu ya mwanamke nyuma..

Nikafikilia tena, Ili ufanikiwe. Unahitaji mawazo sahihi toka kwa mtu sahihi kwa wakati sahihi..

Nikafikilia tena, Msingi imara wa familia ni mwanamke mwenye kitu kichwani. Yani awe na akili mingi mingi..

Nikafikilia tena, ili ujitume zaidi unahitaji nguvu ya kukupush. Kukushauri. Kukuweka sawa. Na kukuelekeza pia. Hapa anatakiwa mtu mwenye IQ kubwa sanaa.

Nikawaza tena, kwa mujibu wa shirika la afya duniani WHO, watoto wanaozaliwa hurithi kwa kiasi kikubwa akili za wazazi wao wa kike. Nami staki uko mbeleni mwanangu aje ateseke..

Ieleweke..

Akili ninazozungumzia hapa ni akili za kawaida tu, zinazoona fursa mahali popote pale. ( Kama ilivyokuwa kwa The late Ruge Mutahaba )

Mambo ya sijui nilipata One ya point7. Sjui ninachet cha Awards toka chuo nilichosoma. Mara sjui nina firsclass. Sjui GPA yangu ni moto. Ebanaa eehh, wewe kaa huko huko na mavyeti vyako..

Sijamaanisha
Akili sijui ya Kuuchambua uchumi wa Tanzania. Sijui factors for inflation. Sijui exchange rate zimekuwaje huko. Sjui Hotuba za Ndugai zmekuaje kuaje.. oyah mi staak mavitu magumu magumu.

Kuhusu ninayemtaka.
Kigezo kikuu ni AKILI NYINGII..
Rangi Yeyoteee..
Kabila loloteeee
Umri wowote
Dini yeyotee
Amezaa ama hajazaa ni mipango ya Mungu..

NB
Najua kuna pipo zitaleta masihara kwenye mambo sreouz kaya haya.

Sasa basi, nitoe wito kwa Mods mlio online. Kwa yeyote atakayeleta ujinga kwenye uzi huu, nitaomba apelekwe likizo ( BAN )ya angalau miezi6 ama zaidi ili iwe fundisho kwa wote wanaoleta utani kwa mambo sereouz kama haya..

Mwisho.

Inawezekana kweli mi nikawa natafuta mtu mwenye akili kubwa ila mie nikawa na akili ndogo.
Kumbuka Chanya inamuhitaji Hasi ili ziende sawa. Kwa hiyo nami naweza kuwa Hasi so namuhitaji Chanya ili tusongee...

Asanteni..




Sent using Jamii Forums mobile app
Jaribu kina Wema, Uwoya, Wolper n.k. mbona wapo wengi sana? Hao wote wanajua kuziona na kuzitumia fursa vizuri. Vinginevyo kwa nini uje JF wakati wako wafanyabiashara wengi tu Kkoo, mamantilie, hao wote wana uwezo wa kutumia fursa. Namna ya tatu ni kuwasiliana na WHO, watakuwa na data base ya wanawake wenye sifa hizo
 
Aisee..
Jaribu kina Wema, Uwoya, Wolper n.k. mbona wapo wengi sana? Hao wote wanajua kuziona na kuzitumia fursa vizuri. Vinginevyo kwa nini uje JF wakati wako wafanyabiashara wengi tu Kkoo, mamantilie, hao wote wana uwezo wa kutumia fursa. Namna ya tatu ni kuwasiliana na WHO, watakuwa na data base ya wanawake wenye sifa hizo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kweli mtu hutafuta ambacho hana
Mimi ni kijana wa kitanzania ninayefikilia kujiajili. Umri ni miaka28.. Mrefu wastani..

Dhumuni la kuleta tangazo hili hapa, ni kuwa. Nimekaa nikafiliki. Palipo na mafanikio ya Mwanaume yeyote. Basi kunanguvu ya mwanamke nyuma..

Nikafikilia tena, Ili ufanikiwe. Unahitaji mawazo sahihi toka kwa mtu sahihi kwa wakati sahihi..

Nikafikilia tena, Msingi imara wa familia ni mwanamke mwenye kitu kichwani. Yani awe na akili mingi mingi..

Nikafikilia tena, ili ujitume zaidi unahitaji nguvu ya kukupush. Kukushauri. Kukuweka sawa. Na kukuelekeza pia. Hapa anatakiwa mtu mwenye IQ kubwa sanaa.

Nikawaza tena, kwa mujibu wa shirika la afya duniani WHO, watoto wanaozaliwa hurithi kwa kiasi kikubwa akili za wazazi wao wa kike. Nami staki uko mbeleni mwanangu aje ateseke..

Ieleweke..

Akili ninazozungumzia hapa ni akili za kawaida tu, zinazoona fursa mahali popote pale. ( Kama ilivyokuwa kwa The late Ruge Mutahaba )

Mambo ya sijui nilipata One ya point7. Sjui ninachet cha Awards toka chuo nilichosoma. Mara sjui nina firsclass. Sjui GPA yangu ni moto. Ebanaa eehh, wewe kaa huko huko na mavyeti vyako..

Sijamaanisha
Akili sijui ya Kuuchambua uchumi wa Tanzania. Sijui factors for inflation. Sijui exchange rate zimekuwaje huko. Sjui Hotuba za Ndugai zmekuaje kuaje.. oyah mi staak mavitu magumu magumu.

Kuhusu ninayemtaka.
Kigezo kikuu ni AKILI NYINGII..
Rangi Yeyoteee..
Kabila loloteeee
Umri wowote
Dini yeyotee
Amezaa ama hajazaa ni mipango ya Mungu..

NB
Najua kuna pipo zitaleta masihara kwenye mambo sreouz kaya haya.

Sasa basi, nitoe wito kwa Mods mlio online. Kwa yeyote atakayeleta ujinga kwenye uzi huu, nitaomba apelekwe likizo ( BAN )ya angalau miezi6 ama zaidi ili iwe fundisho kwa wote wanaoleta utani kwa mambo sereouz kama haya..

Mwisho.

Inawezekana kweli mi nikawa natafuta mtu mwenye akili kubwa ila mie nikawa na akili ndogo.
Kumbuka Chanya inamuhitaji Hasi ili ziende sawa. Kwa hiyo nami naweza kuwa Hasi so namuhitaji Chanya ili tusongee...

Asanteni..




Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi ni kijana wa kitanzania ninayefikilia kujiajili. Umri ni miaka28.. Mrefu wastani..

Dhumuni la kuleta tangazo hili hapa, ni kuwa. Nimekaa nikafiliki. Palipo na mafanikio ya Mwanaume yeyote. Basi kunanguvu ya mwanamke nyuma..

Nikafikilia tena, Ili ufanikiwe. Unahitaji mawazo sahihi toka kwa mtu sahihi kwa wakati sahihi..

Nikafikilia tena, Msingi imara wa familia ni mwanamke mwenye kitu kichwani. Yani awe na akili mingi mingi..

Nikafikilia tena, ili ujitume zaidi unahitaji nguvu ya kukupush. Kukushauri. Kukuweka sawa. Na kukuelekeza pia. Hapa anatakiwa mtu mwenye IQ kubwa sanaa.

Nikawaza tena, kwa mujibu wa shirika la afya duniani WHO, watoto wanaozaliwa hurithi kwa kiasi kikubwa akili za wazazi wao wa kike. Nami staki uko mbeleni mwanangu aje ateseke..

Ieleweke..

Akili ninazozungumzia hapa ni akili za kawaida tu, zinazoona fursa mahali popote pale. ( Kama ilivyokuwa kwa The late Ruge Mutahaba )

Mambo ya sijui nilipata One ya point7. Sjui ninachet cha Awards toka chuo nilichosoma. Mara sjui nina firsclass. Sjui GPA yangu ni moto. Ebanaa eehh, wewe kaa huko huko na mavyeti vyako..

Sijamaanisha
Akili sijui ya Kuuchambua uchumi wa Tanzania. Sijui factors for inflation. Sijui exchange rate zimekuwaje huko. Sjui Hotuba za Ndugai zmekuaje kuaje.. oyah mi staak mavitu magumu magumu.

Kuhusu ninayemtaka.
Kigezo kikuu ni AKILI NYINGII..
Rangi Yeyoteee..
Kabila loloteeee
Umri wowote
Dini yeyotee
Amezaa ama hajazaa ni mipango ya Mungu..

NB
Najua kuna pipo zitaleta masihara kwenye mambo sreouz kaya haya.

Sasa basi, nitoe wito kwa Mods mlio online. Kwa yeyote atakayeleta ujinga kwenye uzi huu, nitaomba apelekwe likizo ( BAN )ya angalau miezi6 ama zaidi ili iwe fundisho kwa wote wanaoleta utani kwa mambo sereouz kama haya..

Mwisho.

Inawezekana kweli mi nikawa natafuta mtu mwenye akili kubwa ila mie nikawa na akili ndogo.
Kumbuka Chanya inamuhitaji Hasi ili ziende sawa. Kwa hiyo nami naweza kuwa Hasi so namuhitaji Chanya ili tusongee...

Asanteni..




Sent using Jamii Forums mobile app
Akili nyingi ni zipi? Hafu we unasumbuliwa na ashki huna lengo la madhubuti la kuoa
 
Nakuchemsha akili hivyo..

Ndio mwanzo wa kuwa akili kibwa..

Hapo nimemaanisha usipende kila ktu kuletewa mezani..

Yakupasa uchanganue akili kdogo..

Google yupo philosopher wa muaka 60

Kwanza kwann unanitajia majina ww halafu unaniambia niende google badala ww unipe wasifu wao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa Hiyo mkuu wewe unatoa pesa mwanamke anatoa akili?
 
"Nimekaa nikafiliki" ndio nini!?
Halafu upo tayari kuongozwa na mwanamke!? Mana umesema hata akipatikana wa kukuzidi maarifa sawa tu.
 
Back
Top Bottom