Mohamed_jumanne
JF-Expert Member
- Feb 16, 2020
- 331
- 936
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo inventor
Rudi kulala ndugu uote tena utampata mkulima tu[emoji38] na machinga sio inventor
Rudi kulala ndugu uote tena utampata mkulima tu[emoji38] na machinga sio inventor
Meelewa humtaki huyo ila unataka aina hio
Meelewa humtaki huyo ila unataka aina hio
Dah...Bado nazidi kusisitiza...kiasili...wajibu mkuu wa Mke ni kumfariji Mume....na wajibu mkuu wa Mume ni kumlinda Mke...[emoji2960]
Sent using Beretta ARX160
Fanya kunipitia
Kweli kabisa kwako nakuja na chura tu, akili ntazikuta huko huko 😀😀,ila usiombe watoto wakafata akili za mama, utajutaaWe usijali mama watoto akili utatumia zangu bebi 😍
Mi nnazo za kuvukia barabara tu mkuu, hizo nyingi sinaa😛
Bibi wa shule ulienda kusomea ujinga?😀😀, ila sijaharibiwa naye mi nimerekebisha nilichokiona kimekosewa bana, au unabisha?
Bibi wa shule ulienda kusomea ujinga?[emoji3][emoji3], ila sijaharibiwa naye mi nimerekebisha nilichokiona kimekosewa bana, au unabisha?
Mi nakapendaa, huwa nacheka sana 😀😀 umesomea ujingaa[emoji23][emoji23][emoji23]
Yani huyo ajuza ukiona kaquote basi n kukosoana tu.. Sikapendi[emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Iyo iyo ndio uje nayo mama🤣🤣🤣 hahah akili za mama duh itabidi tufukunyuane day 14 ili 80% achukue kwangu beby!Kweli kabisa kwako nakuja na chura tu, akili ntazikuta huko huko 😀😀,ila usiombe watoto wakafata akili za mama, utajutaa