Mwanamke mwenye akili nyingi anahitajika kama Mke

Good luck.

Ukiona zinapwaya kidogo unatafuta mwanamke anakujazilizia pale palipopungua.
 
hapa ndipo mnapofeli, mwanamke ukimchukulia kama chombo cha starehe wala huwezi kupanic hata siku moja,lakini ukitegemea sijui akushauri hili au lile,au umchukulie kama mwanaume mwenzio au usubiri akushauri sijui nini UTASUBIRI SANA
 
Kwa hiyo unashauri Ke ni wa kuchukuliwa km ulivyosema hapo..
hapa ndipo mnapofeli, mwanamke ukimchukulia kama chombo cha starehe wala huwezi kupanic hata siku moja,lakini ukitegemea sijui akushauri hili au lile,au umchukulie kama mwanaume mwenzio au usubiri akushauri sijui nini UTASUBIRI SANA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unataka unipe namb ya Dem wako uliyemzalisha kisha ukamtelekeza sio.. nimekushtukia mkuu. Huyo pambana nae tu..

Sent using Jamii Forums mobile app
huu mchezo alitakaga kunifanyia mjomba yangu kabisa isee,kanilengesha kwa demu eti nimuoe na vikao analazimisha vianze mara moja, kuja kuchunguza kumbe ni demu wake alikuwa anambinua sema yeye tayari ana mke so alitaka kumbe nioe tuwe tunabandua wote, yani hapa akili za wanawake ndipo zinaponishinda kabisa
 
Huyo Uncle anaroho mbayaa sanaa.. Akaona akulengeshe boya.. dah
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…