Mwanamke mwenye heshima anatakiwa aamke kila baada ya masaa mawili amgeuze mume wake asije vunjika shingo

Mume ataka malezi, sio mambo ya kihuni🀣🀣🀣 wanahangaika mchana acha usiku tuwadekeze🀣🀣🀣
Shika shika shingo hilo la kichwa cha CHINI uone km limesimama vizuri tayari kwa shughuli
 
Mwenzio nikitaka kugeuka namuamsha namwambia mume wangu Naomba nigeukie ubavu wa huku.....naogopa kugeuka kimyakimya nisimuharibie usingizi wake mtoto wa watu.
Otikiii 😬
 
Mwenzio nikitaka kugeuka namuamsha namwambia mume wangu Naomba nigeukie ubavu wa huku.....naogopa kugeuka kimyakimya nisimuharibie usingizi wake mtoto wa watu.
Geuza geuza shingo lake la kichwa cha CHINI usisahau kufanya hivyo Pia
 
Malezi gani tena jamani, kazi ya malezi si ya mama au??? Arudi kwao akapate malezi bora kabisa.....
Geuza geuza shingo lake la kichwa cha CHINI wewe unakua km yule Mama mvunja Vikombe vya chai hajui kugeuza shingo la mumewe
Your browser is not able to display this video.
 
Malezi gani tena jamani, kazi ya malezi si ya mama au??? Arudi kwao akapate malezi bora kabisa.....
Mwanaume hakui, always a baby.....au na wewe unaamini mtoto wa kiume anaacha kunyonya akiwa na miaka miwili?🀣🀣🀣
 
Mkuu kwaiyo umeweka upinde una maana Gani!? Kwaiyo Mimi kuweka Uzi huo naonekana ni upinde aisee maisha haya,
Hapana mkuu sina maana hiyo...
πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ‘ŠπŸ‘ŠπŸ‘ŠπŸ˜‚
 
Mkuu kwaiyo umeweka upinde una maana Gani!? Kwaiyo Mimi kuweka Uzi huo naonekana ni upinde aisee maisha haya,
Hapana mkuu sina maana hiyo...
πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ‘ŠπŸ‘ŠπŸ‘ŠπŸ˜‚
 
Mwanaume usipende dezodezo siku ukiwa jela kazi ya kukugeuza kila baada ya masaa mawili ataifanya nani,nyapala au?
 
Amgeuze neno amgeuze wakati hajalala kifudifudi

Amgeuze ,limetumika kama......?
 
Duuh walai nafurahi network imerudi af nakutana na hii... tz ni stress free country
 
HAPANA harakati za kutafuta maisha πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
Ant kanipa mtaji nimetumia hovyo hovyo
kumbe na mtaji unapewa ndoman king'ang'a πŸ–πŸΎπŸ–πŸΎπŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…