Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Sio kwa sababu ya mkorogoWana wanaume sana tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kwa sababu ya mkorogoWana wanaume sana tu
MbayaHuyo binti ni mzuri labda kama unamuonea wivu
Mbaya
Uzuri haujawahi na hautawahi kupitwa na urembo wowote milele.Mpe pesa afanye kitu atakachojisikia wengine ni wabaya wanajificha kwenye kivuli cha natural ni vile hawana pesa
Jiwe gizani limempata mtu hapaWana wanaume sana tu
LeeJay49 unaniruhusu kukueleza huwa tunataka nini kwenu Ke sisi Me?Tatizo hamueleweki mnataka nini ndiomaana wadada wa watu wanahangaika kujiweka kila namna wawavutie😃
Karibu….LeeJay49 unaniruhusu kukueleza huwa tunataka nini kwenu Ke sisi Me?
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Inapendeza sana
TakoTatizo hamueleweki mnataka nini ndiomaana wadada wa watu wanahangaika kujiweka kila namna wawavutie😃
We safi bora umejisemea mapema😃👊Tako
Naungana na member Equation xWe safi bora umejisemea mapema😃👊