Chapa Nalo Jr
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 7,518
- 6,506
Ila kwa infidelity nao wamo maana ngoma imewapukutisha kinoma hasa kipindi kile cha kufuata mishahara wilayani, labda ATM zinasaidia sasa hivi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mwanamke mzuri wa kuoa ni
mwanasheria na awe mnyakyusa
awe mzaramo na mwimba taarabu
awe mwanasiasa then muhaya
IZO NDO FLAG ZA KUOA!!!!
Hapo umepotea!!!!!!mwanamke mzuri wa kuoa ni
mwanasheria na awe mnyakyusa
awe mzaramo na mwimba taarabu
awe mwanasiasa then muhaya
IZO NDO FLAG ZA KUOA!!!!
ngoma kila sehemu kaka.
Ukitaka kuoa oa mwanamke ambaye ni mwalimu.
Huwa ni watu wenye hekima, wanaweza malezi kwasababu huwa wanakutana na watoto wengi wa tabia tofauti so wa kwake hawatomshinda.
Ni watu ambao hawawi overworked mara nyingi hivyo anapata muda wa kuwa na familia yake.
Na inasemekana wanaume wengi wenye hela huoa walimu.
Hiyo ni kweli wadau?
Wenye taaluma zingine mbona kazi tunayo.
mwanamke mzuri wa kuoa ni
mwanasheria na awe mnyakyusa
awe mzaramo na mwimba taarabu
awe mwanasiasa then muhaya
IZO NDO FLAG ZA KUOA!!!!