Stephen Ngalya Chelu
JF-Expert Member
- Oct 31, 2017
- 8,252
- 18,335
Unatufanya sie watoto eeh πΉkaribu...
kivipi..?Unatufanya sie watoto eeh πΉ
Kweli, ID yangu ya awali ilipotea hivo nimekuja na hii ila mimi si mgeni kabisa.Wewe ni mzoefu, usituchore...
Ee Evelyn Salt mimi si mgeni humu, bali ID yangu ya awali nimesahau password hivo imebidi nifungue mpya.Unatufanya sie watoto eeh πΉ
Deleted messagekivipi..?
miss Natafuta ana K ya kilo kumi ,we kuweza?Habari zenu humu jukwaa hili la utambulisho.
Nilikuwa na uwezo wa kuposti jukwaa lolote ila nikaona si vyema na si jambo la busara kupost bila kupitia huku.
Naomba mnikaribishe na mnionyeshe pacha wangu Miss Natafuta
wasiliana na Maxence Melo atakusaidia ilishawahi kunitokea hii atakusaidia kukurejeshea akaunti yako ya awali ila hii itaungwa na hiyo akaunti yako.Ee Evelyn Salt mimi si mgeni humu, bali ID yangu ya awali nimesahau password hivo imebidi nifungue mpya.
We balibabambonahi mbona sikuelewi?miss Natafuta ana K ya kilo kumi ,we kuweza?
Salama sana Poor Brain, mie niko poa tuMambo ant
Antiel najikuta natamani niseme ya moyonu tuu...Salama sana Poor Brain, mie niko poa tu
Kwahiyo zinakuwa ni merged ID?wasiliana na Maxence Melo atakusaidia ilishawahi kunitokea hii atakusaidia kukurejeshea akaunti yako ya awali ila hii itaungwa na hiyo akaunti yako.
mh! ipi..?Deleted message
Thankfully Genius Man. Shukrani sana kwa makaribisho yenuwelcome