Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Karibu tena bro nlikua nmekuhisi tu ni wewe, naona na baby ake kawahi kukupokeaEe Evelyn Salt mimi si mgeni humu, bali ID yangu ya awali nimesahau password hivo imebidi nifungue mpya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibu tena bro nlikua nmekuhisi tu ni wewe, naona na baby ake kawahi kukupokeaEe Evelyn Salt mimi si mgeni humu, bali ID yangu ya awali nimesahau password hivo imebidi nifungue mpya.
Waoooooo.....Antiel... Ningependa nikuambie neno ambalo halina gharama na
likitumiwa vibaya halina maana wala thamani.
Neno hilo haliandikiki kwenye karatasi wala hata halitamkiki ila tu linatokea Bila kujua na halina sababu.
Neno hilo mi mwenyewe silijui ila ndo linatufanya tuwe pamoja Japo tupo
Kasi Na Kusi. Nakupenda sana antiel
Jomani mbona sikuelewi Evelyn Salt ?Karibu tena bro nlikua nmekuhisi tu ni wewe, naona na baby ake kawahi kukupokea
Mwaaaah mwaaaahWaoooooo.....
Asante na nakupenda pia Poor Brain
❤️❤️❤️❤️❤️❤️ piaMwaaaah mwaaaah
Mie ni mwanamkeila Mabraza wa siku hizi sijui mmekuwaje ?
Kwanini sasa tukosane walati ni moja ya salamu?Hapo kwenye mwaya tutakosana sasa hivi.
DahDume jike
Naomba nifungue uzi kwa ajiri yako plz❤️❤️❤️❤️❤️❤️ pia
Sawa, unahusu nini huo uzi?Naomba nifungue uzi kwa ajiri yako plz
Usiniite mwaya niite Mwamba, Chuma, such kind of names.Kwanini sasa tukosane walati ni moja ya salamu?
Karibu sana, tashtiti ni kitu gani?Habari zenu humu jukwaa hili la utambulisho.
Nilikuwa na uwezo wa kuposti jukwaa lolote ila nikaona si vyema na si jambo la busara kupost bila kupitia huku.
Naomba mnikaribishe na mnionyeshe pacha wangu Miss Natafuta
KaaaUsiniite mwaya niite Mwamba, Chuma, such kind of names.