Miss Natafutwa
Senior Member
- Dec 18, 2024
- 190
- 593
- Thread starter
- #81
Hekaheka Mjuni LwamboKaribu sana, tashtiti ni kitu gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hekaheka Mjuni LwamboKaribu sana, tashtiti ni kitu gani?
Naona unahitaji MRT sasa.Kaaa
Haya mwaya
" MARA YA KWANZA NAWATAMBULISHA ANTIEL JF HAPA... ""Sawa, unahusu nini huo uzi?
Hekaheka ni kama pilikapilika au?Hekaheka Mjuni Lwambo
Naona Mzee mwenzangu umeamua kunipigia pasi Kwa huyu Mjukuu mgeni 🤗Mzee mwenzangu Grahams naomba umuonyeshe Miss Natafutwa korido zote za jf, ikiwezekana aingie chumbani kabisa 🤣
HahahahaNaona Mzee mwenzangu umeamua kunipigia pasi Kwa huyu Mjukuu mgeni 🤗
Ila Kwa jinsi alivyo hodari ku-tag watu humu, nimepata hofu ya kumkaribisha chumbani
Kwa maana anaweza kuwa mvinyo mpya kwenye Chupa ya zamani 😜
Hahaha, hata mimi nimelibaini hilo. Huu ni mvinyo mpya chupa ya zamani...🤣Naona Mzee mwenzangu umeamua kunipigia pasi Kwa huyu Mjukuu mgeni 🤗
Ila Kwa jinsi alivyo hodari ku-tag watu humu, nimepata hofu ya kumkaribisha chumbani
Kwa maana anaweza kuwa mvinyo mpya kwenye Chupa ya zamani 😜
Jomoni mtani-kill ERoniMzee mwenzangu Grahams naomba umuonyeshe Miss Natafutwa korido zote za jf, ikiwezekana aingie chumbani kabisa 🤣
ANTIEL ndo akina nani hao?" MARA YA KWANZA NAWATAMBULISHA ANTIEL JF HAPA... ""
NdioHekaheka ni kama pilikapilika au?
Umeamkaje antANTIEL ndo akina nani hao?
Salama kabisa.Umeamkaje ant
Asante sanaNawe pia...
Nakuoenda mnoooSalama kabisa.
Anti yenu niko poa tu