Moise Aimar
JF-Expert Member
- Sep 26, 2012
- 216
- 406
Unavaa shanga mbili tu itakuaKabisa.
Niko romantic sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unavaa shanga mbili tu itakuaKabisa.
Niko romantic sana
Ahaaa sina baya twin wanguAsante sana pacha wangu Miss Natafuta.
Nashukuru kwa ukaribisho wako humu.
I hope utanipa mapokezi mazuri nikiwa kama pacha wako.
Love you my pacha (kulwa)
Ni mimi Dotto.
❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Habari zenu humu jukwaa hili la utambulisho.
Nilikuwa na uwezo wa kuposti jukwaa lolote ila nikaona si vyema na si jambo la busara kupost bila kupitia huku.
Naomba mnikaribishe na mnionyeshe pacha wangu Miss Natafuta
JamaniUnavaa shanga mbili tu itakua
Mimi si mgeni.HIi id na mwandiko wako sio mgeni kwangu
Mbona kama unatuchoraaaaaaaa
HekahekaHivi tashtiti maana yake nini
Love uou you ❤️ too pacha wangu.Ahaaa sina baya twin wangu
Love you so much
Hadi ukaamua kuwa Pacha wangu ina maana unanipenda
Mpende akupendae
Love you my blood
AsanteVipi kishundu unacho na vipi ziwa hazijalala🥶anyways karibu
Uongo au ukwel?Jamani
Unatafutwa na nani missHabari zenu humu jukwaa hili la utambulisho.
Nilikuwa na uwezo wa kuposti jukwaa lolote ila nikaona si vyema na si jambo la busara kupost bila kupitia huku.
Naomba mnikaribishe na mnionyeshe pacha wangu Miss Natafuta
NakaziaUmeolewa?
Karibu sana mkuu ila hauna uwezo wa kupost jukwaa loloteHabari zenu humu jukwaa hili la utambulisho.
Nilikuwa na uwezo wa kuposti jukwaa lolote ila nikaona si vyema na si jambo la busara kupost bila kupitia huku.
Naomba mnikaribishe na mnionyeshe pacha wangu Miss Natafuta
Karibu .....ukiniona humu usinizingatie sana...siko siriazi...mie hapa ni kijiweni na mara nyingi lugha zangu hazina staha,,wasalaam 😀 🙂 😀 🙂 😎😀Habari zenu humu jukwaa hili la utambulisho.
Nilikuwa na uwezo wa kuposti jukwaa lolote ila nikaona si vyema na si jambo la busara kupost bila kupitia huku.
Naomba mnikaribishe na mnionyeshe pacha wangu Miss Natafuta
Karibu inboxHabari zenu humu jukwaa hili la utambulisho.
Nilikuwa na uwezo wa kuposti jukwaa lolote ila nikaona si vyema na si jambo la busara kupost bila kupitia huku.
Naomba mnikaribishe na mnionyeshe pacha wangu Miss Natafuta
UongoUongo au ukwel?
Nani ananitafuta nimesema kwani?Unatafutwa na nani miss