Miss Natafutwa
Senior Member
- Dec 18, 2024
- 190
- 593
- Thread starter
- #141
Kivipi?Karibu sana mkuu ila hauna uwezo wa kupost jukwaa lolote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kivipi?Karibu sana mkuu ila hauna uwezo wa kupost jukwaa lolote
Pole bhanaKaribu .....ukiniona humu usinizingatie sana...siko siriazi...mie hapa ni kijiweni na mara nyingi lugha zangu hazina staha,,wasalaam 😀 🙂 😀 🙂 😎😀
AsanteKaribu inbox
JamaniNakazia
Una watoto wangapi?Hapana, niko single.
Unatafuta mchumba kwani?
SinaUna watoto wangapi?
Hapa ndio napasubira maana lawama zimekua nyingi.Una watoto wangapi?
Shukran mashallah mashallahPole bhana
Waoooh🥰☑️🇹🇿Habari zenu humu jukwaa hili la utambulisho.
Nilikuwa na uwezo wa kuposti jukwaa lolote ila nikaona si vyema na si jambo la busara kupost bila kupitia huku.
Naomba mnikaribishe na mnionyeshe pacha wangu Miss Natafuta
Basi sawa kuwa mpole uongezewe stresssSina
SinaHapa ndio napasubira maana lawama zimekua nyingi.
AminaShukran mashallah mashallah
ThanksWaoooh🥰☑️🇹🇿
Haya, nazisubiriBasi sawa kuwa mpole uongezewe stresss
Fungua pmSina
Iko waziFungua pm
Ukiombwa unatoa au ndo kutusumbua tyHabari zenu humu jukwaa hili la utambulisho.
Nilikuwa na uwezo wa kuposti jukwaa lolote ila nikaona si vyema na si jambo la busara kupost bila kupitia huku.
Naomba mnikaribishe na mnionyeshe pacha wangu Miss Natafuta
SawaUkiombwa unatoa au ndo kutusumbua ty
😂😂😂Sikia Rudi zako Tiktok kwenye huo upumbavu wenu