Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio mkuu wanatuletea upuuzi hapa..Eboo
HaikubalikiNdio mkuu wanatuletea upuuzi hapa..Eboo
Mimi nitafuteHabari zenu humu jukwaa hili la utambulisho.
Nilikuwa na uwezo wa kuposti jukwaa lolote ila nikaona si vyema na si jambo la busara kupost bila kupitia huku.
Naomba mnikaribishe na mnionyeshe pacha wangu Miss Natafuta
🤣🤣🤣Haikubaliki
Mimi na apply kabisa u baba na mama mapemaaaa.Asanteni wote mlionikaribisha.
Nawashukuru 🫡🫡🫡
Mie ndio mzee wa migeggedo...kama ni mpenzi wa kibamia nipo hapaAsanteni wote mlionikaribisha.
Nawashukuru 🫡🫡🫡
Kuna jukwaa na English only, huku tunaandika kiswahili tuu.Japo waribufa angali wangali wakunena!
HayaWewe ni mtu mmoja unatutania tu
Sawa boss....Karibu usambaratishe moyo wangu
Naweza jomoniUnaweza kulea?
SawaMimi nitafute
Mh!!Japo waribufa angali wangali wakunena!
Sasa mbona mapema sana Kadhi Mkuu 1?Mimi na apply kabisa u baba na mama mapemaaaa.
Tafadhali mzabzab achana na hii.
Mgoja waje si wanafunzi tunasuburi kufungua shule tuNaweza jomoni
Doh!!Mie ndio mzee wa migeggedo...kama ni mpenzi wa kibamia nipo hapa
Kaandika kikenya only 😃😃Kuna jukwaa na English only, huku tunaandika kiswahili tuu.