Mwanamke ni chanzo cha anguko la mwanaume

Mwanamke ni chanzo cha anguko la mwanaume

Maisha ni mfumo dume, otherwise haujiulizi kwann wanawake wakianza kutafuta maisha wenyewe bila wanaume nao wanaanza kutaka kuwa wanaume.
Kutafuta maisha ni jukumu la kila mtu bila kujali jinsia

Sasa sikuelewi unavyosema wanataka kuwa wanaume

Kama wewe unaona mwanamke anayeweza kujitegemea amejipa nafasi ya mwanaume hatutoweza kukubaliana chochote kwenye hizi mada.
 
Ili mwanaume usiangushwe na mwanamke ni kuhakikisha hata ukimkuta uchi mwanamke unampita bila kugeuka.
Labda mwanaume kipofu awapite tu lakini sisi wenye macho yetu na misabwanda inavyo tikishwa tikishwa kama maini hatu wawachiiiii.😋

Adam,Samson na Daud kama hao mababu walishindwa ije kuwa sisi wajukuu
 
Na bado mtaangushwa sana tu mpaka akili ziwakae sawa mkae m ali na wanawake
 
Wengi mtampinga mleta mada lakini kuna ukweli zaidi ya 90%. Katika ulimwengu wa roho, shetani hutumia sana uasili/bakcground na hii ndo inamfanya awe anajiamini ktk mission zake.

Mbali na masuala ya kiroho, hata sisi kibinadamu tunakuwaga na confidence zaidi ktk mambo yetu endapo kama kun historia nzuri imeshatengenezwa before juu ya jambo hilo.

1. Adam aliangushwa na mwanamke na ndo maana alipoulizwa akasema ukweli kwamba alishawishiwa na mwanamke.

2. Mwanamke huyo huyo ndie aliyemfanya Ibrahim akazaa na kijakazi wake.

3. Raheli alitaka kumuangusha Yakobo kiroho sababu alibeba miungu ya baba zake, Samson akaangushwa na mwanamke.

4. Samson aliangushwa na mwanamke, akafa.

5. Kulikuwa na mwanamke wa kuitwa Yezebeli, huyu alipambana na Manabii wa Mungu kwa kutaka kuwauw, hii roho ya Yezebel mpaka sasa inatembea ili kuangusha watumishi wa Mungu, ni spirit kabisa inaishi.

6. Daudi alisumbuliwa sana na wanawake ila neema ya Mungu ilikuwa ni kubwa kwake ila mwanae Sulemani aliangushwa na wanawake.

7. Ipo mifano mingi sana juu ya mwanamke kumuangusha mwanaume na huku mitaani ndo ipo mifano mingi zaidi. Popote pale penye anguko la mwanaume, basi kuna mwanamke amehusika, katika maanguko 100 ya wanaume, 95 kuna wanawake wapo hapo nyuma.

Kwahiyo shetani anatumia historia ile ile ambayo iliwahi kumpa matokeo chanya ktk eneo la kuangusha wanaume au watumishi wa Mungu, na sio silaha ngeni ila ni mwanamke.

Mwanaume yeyote aliyeamua kukaa mbali na mwanamke, asiyempa kipaumbele mwanamke ktk maisha yake, mwanaume huyo ana nafasi kubwa ya kufanikiwa ktk kila hatua ya maisha yake.

Shetani hakumfata mwanaume na kumdanganya ila mwanamke, mwanamke akatamani, na hata hivi leo tamaa ndiyo inayomuua mwanamke.
 
Awali ya yote niweke wazi kuhusu hili bandiko kwamba ninapotumia neno mwanamke mbaya simaanishi wanawake wote ni wabaya. Ni kweli kuna wanawake wabaya kitabia, lakini pia kuna wanawake wema hivyo tusiwachukulie wanawake wote kuwa ni wabaya.

Sasa tuendelee....
Kwa mujibu wa Biblia mwanamke ametumika sana kuangusha wanaume, na hadi hii leo maanguko mengi ya wanaume husababishwa na wanawake.

Anguko lq kwanza la mwanaume lililosababishwa na mwanamke lilifanyika pale bustanini Eden, yaani kwa anguko hilo wanaume wote tunakula kwa jasho. Baada ya hapo yalifuata maanguko mengi tu.

Samsoni aliua maelfu ya wafilisti peke yake, lakini alikuja kudodoshwa na mwanamke.

Mfalme Daudi alikuwa na upako aliua Simba na Dubu na alimuua pia yule Goliath mfilisti, lakini alikuja kuangukia kwa mwanamke tena mke wa mtu. Nk

Mwanamke mbaya atakufanya uwe mkate (Mithali 6:26)
Amewaua mashujaa - ni njia kuu ya kuzimu ( Mithali 7:27-27)


Tukiachana na hao waliotajwa katika Biblia bila shaka katika eneo lako unakoishi unawajua baadhi ya wanaume walioangushwa na wanawake.

Ukiwa kama mwanaume jitahidi usiangushwe kama hao uwajuao.

Ubarikiwe.
Kwa hiyo wanawake wote wauawe,siyo?
 
Tamaa huwa haiji pasipo kushawishiwa. Wanawake wana mbinu zao za kumshawishi mwanaume, wahanga wanazijua hizo mbinu.
Uko sahihi sana,angalia hata uvaaji wa nguo zao,sababu ya kuvaa nguo fupi ni nini,sababu ya kuvaa suruali za kubana kuonyesha umbile la mwili ni nini,sababu za kubandika makalio ya bandia ni nini,sababu ya kuvaa blauzi maziwa au tumbo linaonekana ni nini,sababu ya kuvaa nguo transparent unaona maungo ya mwili wake ni nini,sababu ya kuvaa nguo fupi au inayobana bila pichu ni nini,n.k.....
 
Nakumbuka nivyokua na kazi ya maana tu. Mara kazini tukaajiri wafanyakazi wapya upande wa production.
Jicho lilitua kwa mmojawapo mdada mweusi hivii. (Mistake).
Nikamwimbisha hakubisha tukaanza kua wapenzi. Akilini nilijua na pass time tu kwanza Nina safari ndefu ya kuzifikia ndoto zangu. Ikiwamo kurudi shule na kufanya masters.
Bwanawee hali haikua hivyo. Mdada alijiongeza alihamisha nguo kidogo kidogo kutahamaki kabati limejaa nguo zake na ndio kashahamia.
Anapika ubwabwa mtamu mpaka unaona maisha si ndio haya.
Akajiongeza na mimba juu akashika. Mzee baba nikaona halaaa yaani kifupi nishaoa.
Akili ikakataa siezi oa kizembe hivi.
Nitajingamuaje sasa?
Kazini alishapata ma human rights wakaanza niendesha. Boss kamtia mimba naniliu afu ataki kumuoa.
Aibu kila nikienda job nikiona kitumbo mchongoko chake naishiwa pozi.
Nikaisakrifaisi kazi yangu niliyoipenda na kwenda kutafuta kazi nyingine.
 
Nakumbuka nivyokua na kazi ya maana tu. Mara kazini tukaajiri wafanyakazi wapya upande wa production.
Jicho lilitua kwa mmojawapo mdada mweusi hivii. (Mistake).
Nikamwimbisha hakubisha tukaanza kua wapenzi. Akilini nilijua na pass time tu kwanza Nina safari ndefu ya kuzifikia ndoto zangu. Ikiwamo kurudi shule na kufanya masters.
Bwanawee hali haikua hivyo. Mdada alijiongeza alihamisha nguo kidogo kidogo kutahamaki kabati limejaa nguo zake na ndio kashahamia.
Anapika ubwabwa mtamu mpaka unaona maisha si ndio haya.
Akajiongeza na mimba juu akashika. Mzee baba nikaona halaaa yaani kifupi nishaoa.
Akili ikakataa siezi oa kizembe hivi.
Nitajingamuaje sasa?
Kazini alishapata ma human rights wakaanza niendesha. Boss kamtia mimba naniliu afu ataki kumuoa.
Aibu kila nikienda job nikiona kitumbo mchongoko chake naishiwa pozi.
Nikaisakrifaisi kazi yangu niliyoipenda na kwenda kutafuta kazi nyingine.
Kwa nini ulimkimbia ilhali ushamtia na ujauzito?

Mie sijaona kama alikua gush huyo mdada.
 
Upo sahihi 40%

Kiufupi mwanaume huwa anajiangusha yeye mwenyewe na sio mwanamke, pale anapoanza kuamini kuwa amesimama na kuanza kutoa attention yake kwa cheapest women.

Ili mwanaume usiangushwe na mwanamke ni kuhakikisha hata ukimkuta uchi mwanamke unampita bila kugeuka.

Kitu kinachoanguka huwa ni kile ambacho hakijasimama vizuri.

Kubali kutikiswa Ila usikubali kutikisika wewe Kama wewe.
Unaweza keguka ukalamba hiyo pili iliyo uchi Kisha ukaendelea na safari bila kuteleza
 
Back
Top Bottom