Mwanamke ni kama bidhaa, mkague mwili wake kabla ya kumuoa

Sasa hapo ndo utaamua uchague mwanamke wa kukuburudisha nafsi yako au mwanamke sahihi kwa watoto wako.
 
Mm sina tatizo na waalimu na nna waheshimu sana, ila tatizo langu kwao n kwann hawataki usaili na kwann wanajiona wao ndio special sana kuliko kada zingine?
Sawa Mkuuuuuu. Usaili ni maji wasipoyaoga watayanywa nk... Wasilazimishe maandazi kuwa keki ya upako. Ila inakuwa ivi maana Idadi ya nafasi na Mlundikano wao na uhitaji wao huko shuleni vijijini ni mbingu na nchi.
 
Sawa Mkuuuuuu. Usaili ni maji wasipoyaoga watayanywa nk... Wasilazimishe maandazi kuwa keki ya upako. Ila inakuwa ivi maana Idadi ya nafasi na Mlundikano wao na uhitaji wao huko shuleni vijijini ni mbingu na nchi.
Hapana, kila kada inahitajika kama ilivyo kwa waalimu.
Mbona mm nipo kitaa na nalambwa kwenye kila usaili lkn cjawah kuilalamikia utumishi
 
Hapana, kila kada inahitajika kama ilivyo kwa waalimu.
Mbona mm nipo kitaa na nalambwa kwenye kila usaili lkn cjawah kuilalamikia utumishi
Me naona sector ya afya yenyewe inahitaji watu lakin hawapo kivile maana private facilities ni nyingi kuliko public, waalimu wao shule zimeongezwa ni nyingi hata privates lakin Cha ajabu wamelundikana Mtaani.

Professions nyingine inawezekana kama uhasibu, mahakama, utalii, mazingira, procurement, hr nk wanaweza kuwa namba kubwa ingawa Awamu hii Miradi na shuhuli nyingi nao zimewachukua. Sijajua upande wako ingawa najua utakuwa mahali sector binafsi
 
Hahaha
 
Pole sana jamaa ambao hawajaoa bado wamepata kitu kwako kupitia maswahibu hayo.
Kwahiyo tatto ya john haikutoka kabisa?
 
Kwahiyo hapo umeongeza kwenye kipengele cha kutofanya mapenzi kabla ya ndoa,kuwa mvuane nguo,mkaguane miili yenu,kisha mvae nguo zenu,msifanye kitu chochote subirini mpaka mkishaoana...?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…