Mwanamke ni muaminifu kwa hisia zake tu na sio juhudi zako..

Mwanamke ni muaminifu kwa hisia zake tu na sio juhudi zako..

Manyanza

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2010
Posts
16,464
Reaction score
35,629
Imagine mke wako anaomba talaka kwa sababu upo bize na kazi..

Kisha anaenda mahakamani kudai mgawanyo wa mali, nusu kwa nusu.

Mali ulizozipata kutokana na kazi.

Mwanaume ana sacrifice muda, na jasho lake kwa ajili ya familia yake..

Ili mwisho aambulie maumizu kama zawadi..

Hii ni zaidi ya UBINAFSI na UKATILII.

Chagua kuoa mwanamke mwenye huruma na hustle zako..

Chagua mwanamke wa kuipa thamani familia yako

Ukiwa hauna kitu hawakutaki, ukiwa bize kukitafuta unaachwa..
 
Imagine mke wako anaomba talaka kwasababu upo bize na kazi..

Kisha anaenda mahakamani kudai mgawanyo wa mali, nusu kwa nusu.

Mali ulizozipata kutokana na kazi.

Mwanaume ana sacrifice muda, na jasho lake kwaajili ya familia yake..

Ili mwisho aambulie maumizu kama zawadi..

Hii ni zaidi ya UBINAFSI na UKATILII.

Chagua kuoa mwanamke mwenye huruma na hustle zako..

Chagua mwanamke wa kuipa thamani familia yako

Ukiwa hauna kitu hawakutaki, ukiwa bize kukitafuta unaachwa..
Screenshot_20240622-214730_1.jpg
picha inajieleza na ndio uhalisia wenyewe mkuu Wakati wewe unawaza upambane utengeneze kesho Bora ya familia yako mwanamke yeye anawaza kuvaa mawingi,kope,kucha na mavazi ya thamani. At the end of time anaenda kudai talaka mgawane ukumbuke yeye Kila Hela ulivyokuwa unampa anakimbia kwenda kusuka na mashono na mashono mapyaa..... Wewe mwanaume kama Mimi hapa mwaka mzima boxer Moja ama mbili na huwazi kitu halafu sababu atakayoitasema ndo kama ulivyo sema ukiwa huna kazi utasemwa sana tu.
 
View attachment 3207093picha inajieleza na ndio uhalisia wenyewe mkuu Wakati wewe unawaza upambane utengeneze kesho Bora ya familia yako mwanamke yeye anawaza kuvaa mawingi,kope,kucha na mavazi ya thamani. At the end of time anaenda kudai talaka mgawane ukumbuke yeye Kila Hela ulivyokuwa unampa anakimbia kwenda kusuka na mashono na mashono mapyaa..... Wewe mwanaume kama Mimi hapa mwaka mzima boxer Moja ama mbili na huwazi kitu halafu sababu atakayoitasema ndo kama ulivyo sema ukiwa huna kazi utasemwa sana tu.
Kabisa Kuna wakati nilimwambia nataka kununua daladala tupate Cha kufanya nabkituingizia pesa akakataa akasema Anza na ist gari atembee. Nikamwambia unakataa Cha kukuingizia pesa unataka Cha kukutoa pesa. Nilimsema sana nikwambia kumbe unawaza kujionyesha tu
 
Imagine mke wako anaomba talaka kwa sababu upo bize na kazi..

Kisha anaenda mahakamani kudai mgawanyo wa mali, nusu kwa nusu.

Mali ulizozipata kutokana na kazi.

Mwanaume ana sacrifice muda, na jasho lake kwa ajili ya familia yake..

Ili mwisho aambulie maumizu kama zawadi..

Hii ni zaidi ya UBINAFSI na UKATILII.

Chagua kuoa mwanamke mwenye huruma na hustle zako..

Chagua mwanamke wa kuipa thamani familia yako

Ukiwa hauna kitu hawakutaki, ukiwa bize kukitafuta unaachwa..
Mke mwema ni nani awezaye kumpata?.
 
Imagine mke wako anaomba talaka kwa sababu upo bize na kazi..

Kisha anaenda mahakamani kudai mgawanyo wa mali, nusu kwa nusu.

Mali ulizozipata kutokana na kazi.

Mwanaume ana sacrifice muda, na jasho lake kwa ajili ya familia yake..

Ili mwisho aambulie maumizu kama zawadi..

Hii ni zaidi ya UBINAFSI na UKATILII.

Chagua kuoa mwanamke mwenye huruma na hustle zako..

Chagua mwanamke wa kuipa thamani familia yako

Ukiwa hauna kitu hawakutaki, ukiwa bize kukitafuta unaachwa..
inasikitisha sana, inafedhehesha sana,

Chagua kuoa mwanamke mwenye huruma na hustle zako..:KasugaYeah:

Chagua mwanamke wa kuipa thamani familia yako :KasugaYeah:
 
Back
Top Bottom