Mwanamke ni muaminifu kwa hisia zake tu na sio juhudi zako..

Mwanamke ni muaminifu kwa hisia zake tu na sio juhudi zako..

Imagine mke wako anaomba talaka kwa sababu upo bize na kazi..

Kisha anaenda mahakamani kudai mgawanyo wa mali, nusu kwa nusu.

Mali ulizozipata kutokana na kazi.

Mwanaume ana sacrifice muda, na jasho lake kwa ajili ya familia yake..

Ili mwisho aambulie maumizu kama zawadi..

Hii ni zaidi ya UBINAFSI na UKATILII.

Chagua kuoa mwanamke mwenye huruma na hustle zako..

Chagua mwanamke wa kuipa thamani familia yako

Ukiwa hauna kitu hawakutaki, ukiwa bize kukitafuta unaachwa..
Mkuu mwanamke anakua na huruma na wewe ndoto zake zikiwa Bado hazijatimia!!

Zikishatimia na akaona anaweza endelea peke yake bila wewe hapo mlipofikia atalianzisha tu mkuu!!

Mimi nimeogopa hata kuoa rasmi Kwa kusaini vyeti vyao hivi vya kisheria! Coz cheti Cha ndoa Kwa mwanamme ni hati ya kifo kwake kwa msongo wa mawazo plus pressure,sukari !!

Wanaishi na sisi kama punda wa kubeba hatma za maisha yao,tukisha timiza tu!!!?
 
Back
Top Bottom