city bookstore
JF-Expert Member
- Oct 27, 2022
- 375
- 987
Hiyo attention na priority unataka apewe mwanamke tutakula komwe lake?😂😂Aiseeee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo attention na priority unataka apewe mwanamke tutakula komwe lake?😂😂Aiseeee
Mwingine kama biashara 🤣🙌tutafika tumechokaVile unavyoyachukulia ndivyo yalivyo kwa upande wako.
Mwingine naye kivingine
sasa nikiacha mambo mengine nitaishijeUsipohangaikia wenzako watakusaidia😌
Women love quantity time
Hizi sheria za kuwakandamiza wanaume zimetungwa na wanaume.Imagine mke wako anaomba talaka kwa sababu upo bize na kazi..
Kisha anaenda mahakamani kudai mgawanyo wa mali, nusu kwa nusu.
Mali ulizozipata kutokana na kazi.
Mwanaume ana sacrifice muda, na jasho lake kwa ajili ya familia yake..
Ili mwisho aambulie maumizu kama zawadi..
Hii ni zaidi ya UBINAFSI na UKATILII.
Chagua kuoa mwanamke mwenye huruma na hustle zako..
Chagua mwanamke wa kuipa thamani familia yako
Ukiwa hauna kitu hawakutaki, ukiwa bize kukitafuta unaachwa..
Mwingine kama biashara 🤣🙌tutafika tumechoka
Attention and prioritization ni wajibu wenuHiyo attention na priority unataka apewe mwanamke tutakula komwe lake?
siku ikitokea akaomba talaka nampa na mali zote nampa naacha nyumba moja nauza naenda kuishi visiwa wa ugiriki huko nanunua kamtumbwi kamoja navuaga samaki nauza naishi huko nakufia huko sirudiImagine mke wako anaomba talaka kwa sababu upo bize na kazi..
Kisha anaenda mahakamani kudai mgawanyo wa mali, nusu kwa nusu.
Mali ulizozipata kutokana na kazi.
Mwanaume ana sacrifice muda, na jasho lake kwa ajili ya familia yake..
Ili mwisho aambulie maumizu kama zawadi..
Hii ni zaidi ya UBINAFSI na UKATILII.
Chagua kuoa mwanamke mwenye huruma na hustle zako..
Chagua mwanamke wa kuipa thamani familia yako
Ukiwa hauna kitu hawakutaki, ukiwa bize kukitafuta unaachwa..
Mwanaume wa kweli ana handle vyote kwa pamojasasa nikiacha mambo mengine nitaishije
you will come first, but only when it matters.
Peleka komwe huko what are you bringing to the table?Attention and prioritization ni wajibu wenu
Acheni kukimbia majukumu
mbona wewe mkorofi hivyo?Mwanaume wa kweli ana handle vyote kwa pamoja
Emotional Support..Peleka komwe huko what are you bringing to the table?
lilith usumbufu mwingi kama yule lilith wa adamNakukumbusha wajibu ,
mshamba_hachekwi
I know my responsibilities in a relationship but I can't let them Interfere with my Source of incomes.Just prioritize your responsibility another man will help you to prioritize your woman
Nimeacha basi😅lilith usumbufu mwingi kama yule lilith wa adam
Unamtoa wapi na ushasema mwanamke ni muaminifu kwa hisia zake tu!!!Chagua kuoa mwanamke mwenye huruma na hustle zako..
Weeeh! Jitaahidi uongeze peace of mind.Emotional Support..
Independence
Shared responsibilities
Beauty
Beautiful kids
Hakika beauty lies in the eyes of the beholderWeeeh! Jitaahidi uongeze peace of mind.
Hapo kwenye beauty mpaka tuone maana uzuri anao uona juma sio ntakao uona mimi
Not leaving your responsibility but creating time for your womanI know my responsibilities in a relationship but I can't let them Interfere with my Source of incomes.
Is that what you mean, Leaving all my responsibilities and put all of my attentions to a Woman?