Qashy Lilith
JF-Expert Member
- Aug 30, 2024
- 1,508
- 2,965
Usipohangaikia wenzako watakusaidia😌sasa mtu ahangaikie mapenzi 24/7 kweli?
Women love quantity time
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usipohangaikia wenzako watakusaidia😌sasa mtu ahangaikie mapenzi 24/7 kweli?
Just prioritize your responsibility another man will help you to prioritize your womanThis is not applied to me.
Personally I prioritize my responsibilities because they are what strengthen and define the bond between us [Me and She].
Imagine mke wako anaomba talaka kwa sababu upo bize na kazi..
Kisha anaenda mahakamani kudai mgawanyo wa mali, nusu kwa nusu.
Mali ulizozipata kutokana na kazi.
Mwanaume ana sacrifice muda, na jasho lake kwa ajili ya familia yake..
Ili mwisho aambulie maumizu kama zawadi..
Hii ni zaidi ya UBINAFSI na UKATILII.
Chagua kuoa mwanamke mwenye huruma na hustle zako..
Chagua mwanamke wa kuipa thamani familia yako
Ukiwa hauna kitu hawakutaki, ukiwa bize kukitafuta unaachwa..
Just prioritize your responsibility another man will help you to prioritize your woman
Nina experience na hilo.Kwanini unapinga ? Thibitisha
Mwanamke atachagua pale anapopendwa na kuhudumiwa siku zoteNi kosa kubwa kwa mwanaume kuhangaika kwa kufikiri anamwanamke wake.
Hayo mawazo wanayo mabwege
Mwanamke atachagua pale anapopendwa na kuhudumiwa siku zote
Kwa namna Gani ?Nina experience na hilo.
Binafsi sitamani kabisa kutokaKabisa,
Tulio ndani tunataka kutoka na wasio ndani skuiz hawataku kuingia tena
Sio wote wanatumikaAkishatumika unafikiri nani atajali uchaguzi wake?
Sio wote wanatumika
sikupingi ila some women are irreplaceable come rain come sunshine Kuna mwanamke ukimpoteza huwezi kumpata kama huyoYaani mwanamke umtumie Miaka nenda Rudi alafu akutishie kuwa usipomhudumia ataondoka au atachukuliwa na wanaume mwingine alafu nawe Roho ikutoke si utakuwa hamnazo.
Wewe kama umepata mwanaume mwingine unayeona wa maana nenda, mwanaume naye apate Fursa ya kuchagua kibinti kingine kibichi
Wanaume washamba ndio huteswa na vikauli mshenzi
sikupingi ila some women are irreplaceable come rain come sunshine Kuna mwanamke ukimpoteza huwezi kumpata kama huyo
Tumuulize Jux🤣🤣🤣🤣
Yupi ambae hana uhitaji na yupi ana uhitaji wa queen treatment?Absolutely Mwanaume haitaji Queen treatment(Queen treatment is against masculinity). Kama ilivyo kuwa Sio kila mwanamke anastahili queen treatment.
Kipi kimelete tofauti kati ya wanawake wa sasa na wa zama tukilenga katika (uwife material)?So biased. Mimi nazungumzia Wanawake hawa wa Zama zetu sizungumzii Bibi Zetu wa zama hizo kwa sababu wao walikuwa more than just wives material.
Me naona mwanaume ambae hawajibiki ipasavyo atajiona mtumwa siku zoteNo. Elimu inahitajika kwa sababu mfumo haupo upande wao. Mfumo unawasukuma Wanaume wawe Watumwa wa Wanawake kwa kisingizio cha Majukumu na Wajibu.
Ufeminist ni sawa sawa na toxicityWakati huo huo unawavua Wanawake kwenye kutekeleza Haki za Wanaume kulingana na Majukumu yale waliyopewa.
Utasikia "Haki sawa hakuna wa Kumpangia mwenzake" alafu utasikia tena Mwanaume ndio Msimamizi wa kuhudumia Familia. Hapa ndio huwa sipaelewi.
At least Unaelewa hilo. Ila Feminists Hawakubaliani na Hilo.
Mwanaume Gani akubali ufanye biashara ? Labda an intelligent man ila hwa wa kupita ni wanasema uzae ulee watotoMbona kuna shughuli nyingi watu wanazifanyia Nyumbani. Trust me Ni makubaliano tuu yanatakiwa ila Mwanamke anaweza kusimamia Biashara na Kuziongoza na kujifunza mambo mengi huku akiwa nyumbani kwake. Very applicable hasa kwa ulimwengu huu wa technologia.
ShenziIt's men who turn women to be selfish
Men fail to prioritize their women kiasi kwamba ata swala la muda mwanamke humpi na halishughulikiwa na ni Moja ya red flag ...
Inaongeza insecurity kwenye mahusiano
Kwanini tusigawane mali sasa😁
Why do you say love is mindsetJambo jingine unatakiwa kulielewa, Wakati mwingine Love ni ishu ya mindset.
😂😂AiseeeeShenzi
Why do you say love is mindset