Mwanamke ni muaminifu kwa hisia zake tu na sio juhudi zako..

Mwanamke ni muaminifu kwa hisia zake tu na sio juhudi zako..

Complain kuwa upo Busy huwa ni sababu ya Kukuacha na ili mgawane mali.
Mwanamke Umeishi nae miaka 10 au 20 ukishafika ile Top of your achievements ndio anaanza kusema muachane umekuwa busy sana all those 10 year I wasn't??

Ladies are selfish mno.
It's men who turn women to be selfish

Men fail to prioritize their women kiasi kwamba ata swala la muda mwanamke humpi na halishughulikiwa na ni Moja ya red flag ...

Inaongeza insecurity kwenye mahusiano

Kwanini tusigawane mali sasa😁
 
Screenshot_20250102-222450_Instagram Lite.jpg
 
Kabisa Kuna wakati nilimwambia nataka kununua daladala tupate Cha kufanya nabkituingizia pesa akakataa akasema Anza na ist gari atembee. Nikamwambia unakataa Cha kukuingizia pesa unataka Cha kukutoa pesa. Nilimsema sana nikwambia kumbe unawaza kujionyesha tu
Hiyo ni Kwa wanawake woote. Sema wapo Huwa wanasoma upepo tu wa Mme wake na kujifanya Wana huruma na jasho la Mme wake.

Wengine akili Huwa inakuja akiona Mme wake dishi lishayumba anajiongeza na kuwa mshauri Bora Kwa Mme wake na hii Kwa ajili ya Watoto na yeye yaani kesho yake.

Kama anajua kipato unacho basi yeye atakuwa anawaza kuvaa,Out, na mitindo ya Kila aina.
 
inasikitisha sana, inafedhehesha sana,

Chagua kuoa mwanamke mwenye huruma na hustle zako..:KasugaYeah:

Chagua mwanamke wa kuipa thamani familia yako :KasugaYeah:
Hayupo. Hao unao waona waigizaji tu. Ku hakikisha hilo wewe akidai yeye anaionea huruma Hela jaribu ku force kidogo utamuona ameanza kutabatham. Hali kadharika mwambie uchukue Hela yake ununue kito kama hicho ama mbadala uone reaction yake. Tena ikibidi komaa kidogo nakuhakikishia kama Bado wazee wenu wapo hii itawahusu
 
Hayupo. Hao unao waona waigizaji tu. Ku hakikisha hilo wewe akidai yeye anaionea huruma Hela jaribu ku force kidogo utamuona ameanza kutabatham. Hali kadharika mwambie uchukue Hela yake ununue kito kama hicho ama mbadala uone reaction yake. Tena ikibidi komaa kidogo nakuhakikishia kama Bado wazee wenu wapo hii itawahusu
kweli hayupo kabisa?

kwahiyo hawa wa kulia lia kwenye maombi na maombezi na drama tu 🐒
 
Hiyo ni Kwa wanawake woote. Sema wapo Huwa wanasoma upepo tu wa Mme wake na kujifanya Wana huruma na jasho la Mme wake.

Wengine akili Huwa inakuja akiona Mme wake dishi lishayumba anajiongeza na kuwa mshauri Bora Kwa Mme wake na hii Kwa ajili ya Watoto na yeye yaani kesho yake.

Kama anajua kipato unacho basi yeye atakuwa anawaza kuvaa,Out, na mitindo ya Kila aina.
Upo sahihi mkuu kabisa. Anapenda out mpaka namtolea nje nikamwambia tutatoka Mara moja kwa miezi miwili kavuta mdomo
 
Upo sahihi mkuu kabisa. Anapenda out mpaka namtolea nje nikamwambia tutatoka Mara moja kwa miezi miwili kavuta mdomo
Aisee acha mara Moja mwanamke wa namna hiyo kumtoa out. Badala yake fanya kusitukiza kwamba kesho ama Leo jioni tutaenda out! Kuhusu kujipanga kwenye mambo kama hayo automatic Huwa wako tyr muda wowote hata kama umwambie saa2 usiku mtaenda tu
 
Imagine mke wako anaomba talaka kwa sababu upo bize na kazi..

Kisha anaenda mahakamani kudai mgawanyo wa mali, nusu kwa nusu.

Mali ulizozipata kutokana na kazi.

Mwanaume ana sacrifice muda, na jasho lake kwa ajili ya familia yake..

Ili mwisho aambulie maumizu kama zawadi..

Hii ni zaidi ya UBINAFSI na UKATILII.

Chagua kuoa mwanamke mwenye huruma na hustle zako..

Chagua mwanamke wa kuipa thamani familia yako

Ukiwa hauna kitu hawakutaki, ukiwa bize kukitafuta unaachwa..
Mashetani kabisa hawa viumbe bahati yao mbususu zao tamu
 
Wanawake wote tabia zao zinafanana kwa zaidi ya 90%, yani kwa kifupi ukitaka kupanga kikosi ni ngumu kujua yupi umuazishe, yupi akae bench, yupi umuuze
 
It's men who turn women to be selfish

Men fail to prioritize their women kiasi kwamba ata swala la muda mwanamke humpi na halishughulikiwa na ni Moja ya red flag ...

Inaongeza insecurity kwenye mahusiano

Kwanini tusigawane mali sasa😁
See how selfish you are.
Men should prioritize woman in return of what?? Do women have to prioritize their men??

Complain kuwa yupo Busy ilibidi isivuke mwaka tayari iwe imesikika.
Ila ndoa ishafika miaka 20 ndio unasema hayo huo ni unafiki.
 
Back
Top Bottom