Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
inavunja moyo sana, inatia hasira mno gentlemanKilichomkuta Pep Guardiola ni haki?

It's men who turn women to be selfishComplain kuwa upo Busy huwa ni sababu ya Kukuacha na ili mgawane mali.
Mwanamke Umeishi nae miaka 10 au 20 ukishafika ile Top of your achievements ndio anaanza kusema muachane umekuwa busy sana all those 10 year I wasn't??
Ladies are selfish mno.
Hiyo ni Kwa wanawake woote. Sema wapo Huwa wanasoma upepo tu wa Mme wake na kujifanya Wana huruma na jasho la Mme wake.Kabisa Kuna wakati nilimwambia nataka kununua daladala tupate Cha kufanya nabkituingizia pesa akakataa akasema Anza na ist gari atembee. Nikamwambia unakataa Cha kukuingizia pesa unataka Cha kukutoa pesa. Nilimsema sana nikwambia kumbe unawaza kujionyesha tu
Hayupo. Hao unao waona waigizaji tu. Ku hakikisha hilo wewe akidai yeye anaionea huruma Hela jaribu ku force kidogo utamuona ameanza kutabatham. Hali kadharika mwambie uchukue Hela yake ununue kito kama hicho ama mbadala uone reaction yake. Tena ikibidi komaa kidogo nakuhakikishia kama Bado wazee wenu wapo hii itawahusuinasikitisha sana, inafedhehesha sana,
Chagua kuoa mwanamke mwenye huruma na hustle zako..
Chagua mwanamke wa kuipa thamani familia yako![]()
Kwa namna alivyoitesa Liverpool naunga mkono kilichomkuta.Kilichomkuta Pep Guardiola ni haki?
Hakuna mwanaume aliyeumbiwa mateso zindukaWanaume tumeumbiwa mateso.
kweli hayupo kabisa?Hayupo. Hao unao waona waigizaji tu. Ku hakikisha hilo wewe akidai yeye anaionea huruma Hela jaribu ku force kidogo utamuona ameanza kutabatham. Hali kadharika mwambie uchukue Hela yake ununue kito kama hicho ama mbadala uone reaction yake. Tena ikibidi komaa kidogo nakuhakikishia kama Bado wazee wenu wapo hii itawahusu
😹😹😹 Unakuta mali zenyewe vijiko na vibakuli vya batiKataa ndoa....🤨
Ndoa ni uhalifu...😶
Ndoa ni dhulma ya mali..😎
Upo sahihi mkuu kabisa. Anapenda out mpaka namtolea nje nikamwambia tutatoka Mara moja kwa miezi miwili kavuta mdomoHiyo ni Kwa wanawake woote. Sema wapo Huwa wanasoma upepo tu wa Mme wake na kujifanya Wana huruma na jasho la Mme wake.
Wengine akili Huwa inakuja akiona Mme wake dishi lishayumba anajiongeza na kuwa mshauri Bora Kwa Mme wake na hii Kwa ajili ya Watoto na yeye yaani kesho yake.
Kama anajua kipato unacho basi yeye atakuwa anawaza kuvaa,Out, na mitindo ya Kila aina.
Ni mama pekee mkuu amini haya hao wengine wapo Kwa ajiri ya ndio maana mara zote Huwa tunasema ukitaka kuuzahata nyumba utaulizwa je ukifa tutaishije Mimi na watoto.kweli hayupo kabisa?
kwahiyo hawa wa kulia lia kwenye maombi na maombezi na drama tu 🐒
Aisee acha mara Moja mwanamke wa namna hiyo kumtoa out. Badala yake fanya kusitukiza kwamba kesho ama Leo jioni tutaenda out! Kuhusu kujipanga kwenye mambo kama hayo automatic Huwa wako tyr muda wowote hata kama umwambie saa2 usiku mtaenda tuUpo sahihi mkuu kabisa. Anapenda out mpaka namtolea nje nikamwambia tutatoka Mara moja kwa miezi miwili kavuta mdomo
Nimekusoma mkuu Asante kwa ushauriAisee acha mara Moja mwanamke wa namna hiyo kumtoa out. Badala yake fanya kusitukiza kwamba kesho ama Leo jioni tutaenda out! Kuhusu kujipanga kwenye mambo kama hayo automatic Huwa wako tyr muda wowote hata kama umwambie saa2 usiku mtaenda tu
Mashetani kabisa hawa viumbe bahati yao mbususu zao tamuImagine mke wako anaomba talaka kwa sababu upo bize na kazi..
Kisha anaenda mahakamani kudai mgawanyo wa mali, nusu kwa nusu.
Mali ulizozipata kutokana na kazi.
Mwanaume ana sacrifice muda, na jasho lake kwa ajili ya familia yake..
Ili mwisho aambulie maumizu kama zawadi..
Hii ni zaidi ya UBINAFSI na UKATILII.
Chagua kuoa mwanamke mwenye huruma na hustle zako..
Chagua mwanamke wa kuipa thamani familia yako
Ukiwa hauna kitu hawakutaki, ukiwa bize kukitafuta unaachwa..
Tutazalisha tuu no ndoaKwa jinsi hali ilivyo ndoa inaelekea kuwa ni janga
PoaHakuna mwanaume aliyeumbiwa mateso zinduka
See how selfish you are.It's men who turn women to be selfish
Men fail to prioritize their women kiasi kwamba ata swala la muda mwanamke humpi na halishughulikiwa na ni Moja ya red flag ...
Inaongeza insecurity kwenye mahusiano
Kwanini tusigawane mali sasa😁