Mwanamke ni nani?

Deal28

Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
96
Reaction score
114
ukipata pesa atahitaji kujua kuwa umezitoa wapi, ukijaribu kumweleza wapi umezitoa atauliza ilikuwaje... ukijieleza sana atahitaji kujua mbona hukupata nyingi zaidi ya hizi πŸ˜‚

Haya upande wa pili ukikosa sasa hapo ndio patamu ataanza kwanini umekosa, ukijieleza sanaaa anakutolea mfano mbona fulani kapata yaani ni maswali juu ya maswali je mmefanyiwe nini ili kusiwe na maswali?

Pokea tuu usitake kujua ilikuwaje, ikaendaje wala litatokea nini hakuna anayetaka kukosa bali ni milima na mabonde ndio yanasababisha

Anyway nisiwe muongeaji sana kama motivational speakerπŸ˜‚πŸ˜‚ naomba niwe mkweli mimi kinachonisumbua ni njaa na sina hela kubwaπŸ™ sitaki vya bure haya nina buku hapa nipeni chimbo niweka kamkeka nitusue maisha mimiπŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…