Mwanamke ni vizuri pia kujifunza ku-fix baadhi ya vitu hapo nyumbani

Mwanamke ni vizuri pia kujifunza ku-fix baadhi ya vitu hapo nyumbani

JEJUTz

Member
Joined
Aug 22, 2024
Posts
75
Reaction score
197
Hii itakusadia pindi ukiwa nyumbani pekee yako ama mahala popote pasipo na msaada pamoja na kuokoa gharama.

Siongelei ule ufundi professional hapana.Ni ufundi ambao ni basic kwa ajili ya kuokoa jahazi ili mambo yaende (quick fix).

Ni kama kubadili koki ya maji iliyoharibika au umeamka asubuhi umekuta tairi ya gari haina upepo na spare tairi ipo all these you can do it for your own.

Nyingine ni kama kubadili bulb iliyoungua hili nalo halihitaji fundi achukue pesa yako .Sijui kitanda kimelegea even this you can do it for your own ispect and tight it!

Si hayo tu yapo mengi ambayo mwanamke anaweza fanya pasipo kuhitaji msaada wa fundi.
 
Umeongelea kitu cha ukweli, wanawake ni muda sasa wa kuamka na kufanya aliyosema mtoa mada, vitu kama hivi vidogo vidogo hata ninyi mnaweza kuvifanya kwa kiasi fulani na wanaume au wenye proffession zao kuvimalizia kwa uhakika. Mfano sio tu kubadili taa lakini mnaweza hata kufanya marekebisho madogo madogo ndani ya nyumba zenu.
 
Waweze wapi

Kuna siku nlikuwa napita mitaa fulani nkawakuta dada na jamaa wamepata tyre puncher,wote wanamsikilizia mtu aje awasaidie
Kubadili tyre 😄
Jamaa amekaa kilonyalonya fulani na huyo dada kakaa kama wale madem wa bongo movie

Ova
 
Waweze wapi

Kuna siku nlikuwa napita mitaa fulani nkawakuta dada na jamaa wamepata tyre puncher,wote wanamsikilizia mtu aje awasaidie
Kubadili tyre 😄
Jamaa amekaa kilonyalonya fulani na huyo dada kakaa kama wale madem wa bongo movie

Ova
Sisi tukiokulia vijijini tuna Raha sana,vikazi vidogo hivyo kama kupenga kamasi!
 
Waweze wapi

Kuna siku nlikuwa napita mitaa fulani nkawakuta dada na jamaa wamepata tyre puncher,wote wanamsikilizia mtu aje awasaidie
Kubadili tyre 😄
Jamaa amekaa kilonyalonya fulani na huyo dada kakaa kama wale madem wa bongo movie

Ova
Hata mimi nikipata pancha sihangaiki kujichafua na kutoka mijasho,namsimamisha boda Nampa buku 2/3 abadilishe. Labda porini huko kama hamna wa kumtuma.
 
Umeongelea kitu cha ukweli, wanawake ni muda sasa wa kuamka na kufanya aliyosema mtoa mada, vitu kama hivi vidogo vidogo hata ninyi mnaweza kuvifanya kwa kiasi fulani na wanaume au wenye proffession zao kuvimalizia kwa uhakika. Mfano sio tu kubadili taa lakini mnaweza hata kufanya marekebisho madogo madogo ndani ya nyumba zenu.
Hizo kazi ni rahisi kama una vifaa.
 
Kuna zile ambazo hazihitaji vifaa, mfano kubadilisha bulb inahitaji vifaa gani! Tunazosemea ni zile zisizohitaji kufunga au kufungua. Zinazohitaji tools ni lazima ziwepo kama kubadili tyre tools ni lazima ziwepo kwenye gari.
Unajua kuna bulb ziko juu kwenye gypsum? Bila ngazi ya kueleweka utabadili hio bulb?
 
Back
Top Bottom