Mwanamke ni vizuri pia kujifunza ku-fix baadhi ya vitu hapo nyumbani

Mwanamke ni vizuri pia kujifunza ku-fix baadhi ya vitu hapo nyumbani

Umeongelea kitu cha ukweli, wanawake ni muda sasa wa kuamka na kufanya aliyosema mtoa mada, vitu kama hivi vidogo vidogo hata ninyi mnaweza kuvifanya kwa kiasi fulani na wanaume au wenye proffession zao kuvimalizia kwa uhakika. Mfano sio tu kubadili taa lakini mnaweza hata kufanya marekebisho madogo madogo ndani ya nyumba zenu.
Ni kweli kabisa Mimi baadhi ya vitu Huwa nafanya
 
Hizo kazi watazifanyaje sasa na yale makucha yao marefu v

Sasa mkuu unaposema kubadili bulb hujui watu wana bulb tofauti? Ya kawaida iko chini? Inahitajika ngazi nzuri na ndio vitendea kazi vyenyewe. Hizo kazi nyingi ni rahisi tu kama una vitendea kazi. Kama huna hata kubadili bulb sio kazi rahisi tena.
Sio kazi me mbona Huwa nafanya
 
Mbona nyie wanaume vingi vinawashinda?
Vitu vingi nafanyaga mwenyewe?juzi nilishangaa kimama hakiwezi hata kuvunja kufuli
Mimi binafsi dear naweza sijajua Kwa wanaume sijawahi ona kabisa kuwa hawezi baadhi ya kitu
 
Wazee wa haki sawa sometimes michosho sana. Wengine hadi kuingiza tokens za Luku nalo tatizo.
 
Waweze wapi

Kuna siku nlikuwa napita mitaa fulani nkawakuta dada na jamaa wamepata tyre puncher,wote wanamsikilizia mtu aje awasaidie
Kubadili tyre 😄
Jamaa amekaa kilonyalonya fulani na huyo dada kakaa kama wale madem wa bongo movie

Ova
Duuuh hatari tunatakiwa tujifunze badaahi ya vitu
 
Kuna zile ambazo hazihitaji vifaa, mfano kubadilisha bulb inahitaji vifaa gani! Tunazosemea ni zile zisizohitaji kufunga au kufungua. Zinazohitaji tools ni lazima ziwepo kama kubadili tyre tools ni lazima ziwepo kwenye gari.
Unawez nunua
 
we jamaa unashusha verse live live!
Haha huyo ni kipenzi changu, nawe hujakatazwa kuwa na yeyote myakayevutiana mzee baba😀😀
You're free to express yourself in any way mkuu
 
Mi huwa napaka na rangi nyumba nzima, radio tv narekebisha hapa nataka nijifunze kuchanganya zege nizibe matundu vibandani kwa kuku
 
Nishawahi kuchapiwa demu wangu kwasabb tu alikuwa hajui kufunga kitanda. Siku amehamisha vitu vyake toka nyumba moja kwenda nyingine ya kupanga bodaboda wake akaitumia fursa ya kufunga kitanda kumfunga (kumchapa) na demu wangu.
 
Picha inaanza kupika tu hajui ye muulize kuhusu Tiktok
 
Wengi hata kuosha vizuri papuchi zao au mattyako yao ni shida sembuse kufanya vitu vyenye elements za ufundi.

Wanawake wengi wa miaka hii ni mizigo pro max.
 
Back
Top Bottom