Chief kwamba kwenye hiyo nyumba hata ngazi inakosekana! Sawa umeeleweka. Lakini nijuavyo kwenye nyumba iliyokamilika vipo vitu ni lazima visikosekane kama vile ngazi, spade, nyundo, msumeno.Sasa mkuu unaposema kubadili bulb hujui watu wana bulb tofauti? Ya kawaida iko chini? Inahitajika ngazi nzuri na ndio vitendea kazi vyenyewe. Hizo kazi nyingi ni rahisi tu kama una vitendea kazi. Kama huna hata kubadili bulb sio kazi rahisi tena.
Sasa si uwe unaniambia nije ku "quick fix" kwa maneno ya mleta mada sweetheart😀😀😂😂😂mimi huyu niweke bulb aah bhana
Ndio unaambiwa ujifunze. Mwanaume wako akiwa mbali je, ndio uko radhi kumpa fundi hela ambayo ungeweza kuisave kwa kufanya wewe kitu rahisi kama hiko?hadi tayre ya gari no way😂😂sasa nini faida ya mwanaume
Kitanda na service tena?!🙄🫢 Kina fanya some collisions nini na kinahitaji lubricanations?🤣Hivi kitanda kinatakiwa kifanyiwe Service mara ngapi kwa mwezi, Ngoja nimpe hii kazi nimpee mamsap.
Ndo ujishangae sasaSasa mimi dada nawekaje wekaje bulb kule juu, nawashaje soccket braker kwanza sijui inawashajwe, kuna siku nimechomeka pressure cooker nimetoka kununua, umeme ukazima hapohapo, nikampigia mwenye nyumba akaleta fundi wake wa umeme, fundi kuangalia kumbe ni hiyo soccet braker akawasha ndani ya dakika na akalipwa elfu ishirini, moyoni niliona aibu ile hela mwenye nyumba aliyomtumia fundi
utamkuta mwanamke hata kushona kifungo ya shati mpaka apeleke kwa fundiHii itakusadia pindi ukiwa nyumbani pekee yako ama mahala popote pasipo na msaada pamoja na kuokoa gharama.
Siongelei ule ufundi professional hapana.Ni ufundi ambao ni basic kwa ajili ya kuokoa jahazi ili mambo yaende (quick fix).
Ni kama kubadili koki ya maji iliyoharibika au umeamka asubuhi umekuta tairi ya gari haina upepo na spare tairi ipo all these you can do it for your own.
Nyingine ni kama kubadili bulb iliyoungua hili nalo halihitaji fundi achukue pesa yako .Sijui kitanda kimelegea even this you can do it for your own ispect and tight it!
Si hayo tu yapo mengi ambayo mwanamke anaweza fanya pasipo kuhitaji msaada wa fundi.
badala ya kutengeneza niongeze tatizo akhuuNdio unaambiwa ujifunze. Mwanaume wako akiwa mbali je, ndio uko radhi kumpa fundi hela ambayo ungeweza kuisave kwa kufanya wewe kitu rahisi kama hiko?
inawezekana kuna usichoweza na mie nawezaKwanini usiweke Mimi mbona naweza dear
njoo kipenzi 😂😂😂Sasa si uwe unaniambia nije ku "quick fix" kwa maneno ya mleta mada sweetheart😀😀
Ndo ujifunze sasaUmenikumbusha kituo changu Cha kwanza Cha kazi kijijini hukoo kwenye nyani....kota nimepewa jiko hakuna...nikaona ee isiwe shida....darasa la sita wa kiume mkuje...enhee,zile tofali za shule njoo tuchanganye tope hapa tuinue kajiko kakimtindo.....kakafika juu.....tukaingia porini kata miti ndo kenchi hizo.....laza pale....ikasalia bati ....hizo zikasubiri nipate mshahara nikajinunulia bati sita,misumali(nyundo ninayo sikuzote),nikaazima ngazi kijijini panda juu nikaanza kazi ya kuezeka....nikizipanga bati jike na dume pale....wanakijiji walisimama barabarani kunishangaa mie nipo juu Sina habari.Usitegemee nguo kuchanika nipeleke kwa fundi,au sijui kubadilisha bulb....au kunabanda la mbao kufugia kuku lahitajika ati nitamwita fundi...utasubiri