Ni kweli kabisa Mimi baadhi ya vitu Huwa nafanyaUmeongelea kitu cha ukweli, wanawake ni muda sasa wa kuamka na kufanya aliyosema mtoa mada, vitu kama hivi vidogo vidogo hata ninyi mnaweza kuvifanya kwa kiasi fulani na wanaume au wenye proffession zao kuvimalizia kwa uhakika. Mfano sio tu kubadili taa lakini mnaweza hata kufanya marekebisho madogo madogo ndani ya nyumba zenu.
usiwasikilize hao we bulb ikiungua niite mi nipo hivi sio vitu vyakunyimana mwishowe tukose naniliu...๐Asante Kwa elimu
Hizo kazi watazifanyaje sasa na yale makucha yao marefu v
Sio kazi me mbona Huwa nafanyaSasa mkuu unaposema kubadili bulb hujui watu wana bulb tofauti? Ya kawaida iko chini? Inahitajika ngazi nzuri na ndio vitendea kazi vyenyewe. Hizo kazi nyingi ni rahisi tu kama una vitendea kazi. Kama huna hata kubadili bulb sio kazi rahisi tena.
Duuuh hatari tunatakiwa tujifunze badaahi ya vituWaweze wapi
Kuna siku nlikuwa napita mitaa fulani nkawakuta dada na jamaa wamepata tyre puncher,wote wanamsikilizia mtu aje awasaidie
Kubadili tyre ๐
Jamaa amekaa kilonyalonya fulani na huyo dada kakaa kama wale madem wa bongo movie
Ova
Hata mimi nimekumiss sana, majukumu tu kipenzi changu. Ila you'll soon enjoy my presence baby๐๐njoo kipenzi ๐๐๐
sema nimekumiss
we jamaa unashusha verse live live!Hata mimi nimekumiss sana, majukumu tu kipenzi changu. Ila you'll soon enjoy my presence baby๐๐
Hapo kwenye naniliu ndio umeharibu,ulianza vizuri๐๐usiwasikilize hao we bulb ikiungua niite mi nipo hivi sio vitu vyakunyimana mwishowe tukose naniliu...๐
Haha huyo ni kipenzi changu, nawe hujakatazwa kuwa na yeyote myakayevutiana mzee baba๐๐we jamaa unashusha verse live live!
hongereni sanaHaha huyo ni kipenzi changu, nawe hujakatazwa kuwa na yeyote myakayevutiana mzee baba๐๐
You're free to express yourself in any way mkuu
mh! kwani hela ni kitu cha kuninyima nawewe..?Hapo kwenye naniliu ndio umeharibu,ulianza vizuri๐๐