Mwanamke niliyemsaidia na kumpenda ametoroka na mtoto wangu


Ure rite mis power.. more qns thn ansrs....
 



Mimi ningekushauri fanya linalowezekana kama kuripoti polisi na kufuatilia where abouts za huyo mama. Maana haiwezekan ikawa double coincidence kwamba msichana apotee na mama asionekane tena kwa wakati mmoja. Either walipanga hivo na huyo mama ndie aliye naye. Fanya maombi ya kufunga na kuomba utapata suluhisho tu.
 
Nenda kampuni ya simu but utahitaji good contacts na fedha za kuhonga. Mfano kama namba alokuwa anatumia ni tigo wanaweza kuangalia hiyo namba ilikuwa kwenye simu gani. Na sasa hiyo simu inatumia namba gani. Kwenye hiyo namba mpya sasa wanaweza wakakupa inatumia tower gani ya mawasiliano ukajua yupo wapi au ukachukua namba ukamtafuta. Pole
 
Hahaa...Labda kama mimi siyo Yegomasika!. But It's all good buddy...Kupanga ni kuchagua!.

Kamata like Kubwa mkuu like like like like like like like like like... Unakutana na mtu hamjafahamiana unamtongoza ndani ya Massa 5 umempa mimba kusa eti we ni rijali!!!????no thank you, hili ni nini kama story yake ni kweli again kula like like like!!!
 
Last edited by a moderator:
wenye Uelewa Mpana Wamenishauri Vizuri na Nimewaelewa, Lakini Wachache Waliochini Ya Hapo Ndiyo Wanafikiri Hii Asali.... Mungu Anasimama na Mimi Kwenye Andishi Hili Mkuu...
Sasa kwanini u quote mwenye uelewa mwembamba umeleta Uzi ulitaka usipate comment nyingine za tofauti. Au ulishaji creatia comments zako kichwani. Kwani hii ni hadithi kama nyingine based on imagination.
 
naona kama story ya kutunga vile.
Anyway mwanaume mwenye akili timamu hawez okota mwanamke njian halafu anakwenda kumugeuza mke wake. Akifanya upuuzi kama huo matokeo yake ni kama haya.
 

Mkuu Natamani Na Wewe Siku Moja Ukutane na Mtu Wa Aina Hiyo Then Uje hapa... Nilikaa na Hii Siri Moyoni Lakini Now Niwakati Wa Kuwa Muwazi... Inapotokea Hali Kama Hiyo Hasa Kwa Msichana Wa Aina Ile Ni Wanaume Wachache Malijali Wanaweza Kumuacha.
 
naona kama story ya kutunga vile.
Anyway mwanaume mwenye akili timamu hawez okota mwanamke njian halafu anakwenda kumugeuza mke wake. Akifanya upuuzi kama huo matokeo yake ni kama haya.

Unaweza Kuwa na Akili Timamu na Hali Kama Iliyonikuta Mimi Ikakukuta na Ukafanya The Same Kama Mimi... Usiwe Mbishi Kwa Kuwa Haijakutokea Mkuu
 
Unaweza Kuwa na Akili Timamu na Hali Kama Iliyonikuta Mimi Ikakukuta na Ukafanya The Same Kama Mimi... Usiwe Mbishi Kwa Kuwa Haijakutokea Mkuu

Pole sana kwa kufanya hilo tukio ukiwa na akili timamu.
lazima uwe na malengo na msimamo ktk maisha kuwa unataka kuishi na mke wa namna gani. Usipokuwa na malengo na msimamo ndio kama hivi ukiona demu popote unamwambia twende tukaanze maisha. Utajiona mjanja kumbe mwanamke anakutega na ana malengo yake binafsi. matokeo yake ndio kama haya. hata hivyo una bahati sana maana ulikuwa ktk hatari ya kuambukizwa magonjwa, kuuwawa, kushikwa na polisi, kuibiwa mali zako na mengine megi yanayoambatana na kulala nyumbani kwako na mwanamke usiyemjua. usirudie tena kosa kama hilo
 
Inaonekana wewe ndiyo unalilia mtoto ambae siyo wako.
 

Ahsante Mkuu Hata Hivyo Hii Lilikuwa ni Tukio langu la Kwanza na La Mwisho
 
Mhhh! Na hali ya kirusi ilivyo kamanda unaokota milupo??? Take care, otherwise care will take care of you!!!
 
sikushangai, maana wewe si mtu wa kwanza kukutwa na tatizo hili,
Kule Mwanza nilikutana na issue kama hii, kijana alikutana na msichana usiku barabarani na kumng'ang'ania waende nyumbani na kisha kuwa mpenzi kabisa.
Baadaye shida na matatizo mengi yaanza na yule binti hakuwa anataka kuondoka.
Lakini mwishowe ilibainika kuwa alikuwa amemwoa jini.

Usipende kukurupuka na kuwa na mahusiano kwa kwa mtu usiyemfahamu. na tena una bahati bora ameondoka, huenda yangekupata makubwa .
 

Naweza Nikakubaliana Na Wewe Mkuu, Hata Alipoondoka Hakutaka Kuacha Ukumbusho Wa kitu Chochote Hata Picha Hakuwa Ameacha Zaidi Ya Za Mtoto
 
hahaah aahaya bhana si mmeokotana tuu njiani unategemea nini hapo..
 
wanawake wengi siku hizi hawataki kuolewa wanataka kuzaa tu watoto na kulea. Hasa akipata mtoto wa kike ndio basi humpati kabisa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…