Mwanamke niliyetegemea kumuoa nimekuta picha zake group la Telegram

Pole sana japo hapo mwenye maamuzi ni wewe mwenyewe kwani watu wanaeza kukushauri umuache huku ukikumbuka mliyopitia basi unajikuta sitaki nataka.
 
Huenda wametoa picha zike Facebook au zile anazowatumia rafiki zake wapost status. Tuma hiyo link
Picha za utupu mkuu
UShawahi kumkagua na ile sabufa a.k.a spika?
Maana yaeza kua we unapewa fronti door af masela wa telegram wanapita uani tena wengi kama wazamiaji wa chakula ya harusi uswazi
Acha basi😒😒
 
Ushajua dem wako n malaya kwann usivunge babu?unatuchosha tuu
 
Nipasie namba yake kakaa!! kama hutojali!!
 
Labda kama ni Chai, ila kama sio Chai, kwann usimuhoji?.

Wee sema ni Mtumiaji wa Malaya wa Telegram, Sasa umeamua kuja na kisa ili kuchangamsha.



Muulize , alafu nitawapa kisa kama hiki ila huyu ni EX wangu.


ONYO, KUWENI MAKINI ,NYIE WADADA MNAOPOST PICHA ZENU MITANDAON HUKO FB,IG .


ZINATUMIWA SANA, USISHANGAE UKAKUTA PICHA ZA MKEO HUKOO!!.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…