Mwanamke niliyetegemea kumuoa nimekuta picha zake group la Telegram

Mungu humpa mtu mume/Mke wa kufanana nae
Lakini mie sina hiyo kawaida.. nlivutiwa na picha zilizokuwepo kwenye Ile link nikasema ngoja nijarbu leo kupiga malaya maana huwa naskia tu kwa mwanangu fulani kuhusu mademu wa huko.
 
mbna kitu kirahisi mnunue mkutane umle kila ukimhitaji lakini kwa ushauri wangu muoe mwanamke wastyle hyo wanatuliaga sana kwenye ndoa yaani kila starehe kashapitia
 
Yani umpende na kumpambania mtu Muongo anaye enda kukwaza na wanaume wengine huko??

Aisee hakuna upendo wa namna hiyo zaidi ni ujinga aisee....
 

Mkabili tu na huo ukweli. Ukiulizwa umefuata nini huko, sema ilibidi ujiunge uthibitishe kama ni kweli maana rafiki yako mmoja anayemjua alikutonya kwamba ndo mchezo wake.

Hivyo ukawa unataka kujiridhisha pasiposhaka kwamba mkeo mtarajiwa ni malaya.
 
Mkuu pole kwa yaliyokukuta,mie naomba msaada wa link za group mbili tatu.
 

Usikutane naye. Maadamu umeshampa ukweli, hakuna sababu ya kukutana naye tena, unless uko tayari kumsamehe muendeleze libeneke otherwise epuka shari.

Utaua without intention na kuozea jela bure. Mature people wana ignore thought it hurts but it is the right thing to do.

Kama nafsi yako imeshakata kauli ya kutokuendelea naye, nakushauri usikutane naye kipindi hiki cha hasira. Ungetaka ungemsubiri arudi umface na ukweli mkiwa pamoja of which kuna possibility kwamba ungetenda kosa la jinai, hivyo hiki ulichokifanya cha kumpigia ndiyo imekuwa pona yako.

You are hurting, but you have a life to live. Don’t ruin your life because of some irresponsible idiot who has chosen to humiliate you emotionally.

If you love her, let her go.
 
Kama unampenda ndiyo ufanye haraka muowe umuokowe kujiuza.
 
Hapo ukute watu wengi tu wanamjua kua ni muuzaji na hawakua na mpango wa kumuoa,wameshangaa sana wewe kutaka kumuoa,na ukute wanajisemea kua kuna mademu wana bahati,yaani pamoja na umalaya wote ule,mshamba mmoja kanogewa anaoa.
 
Mkuu ninamba link ya hiyo Telegram Channel.
 
Bro kama mwanamke anatoa oesa yake kukusaidia ata kama anauza uchi telegram wewe muoe tuu. Huyo ndio mke bwana. Atakusaidi wakati wa shida. Bora huyo kuliko mwanamke ambaye hayo telegram lakini wakati unahitaji msaada wake ndio kwanza anakutusi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…