jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Tuma kwanza hizo picha ndio tukupe ushauri mzuri.Wakuu habari za Jumapili? Kwangu si njema hata kidogo ila nina Imani Kila mmoja ni buheri wa afya...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuma kwanza hizo picha ndio tukupe ushauri mzuri.Wakuu habari za Jumapili? Kwangu si njema hata kidogo ila nina Imani Kila mmoja ni buheri wa afya...
[emoji23][emoji23][emoji23]hiyo inaitwa both team score [emoji23][emoji23] ukomeeeeeeeeeee
Mwamba una mifano kwenye kila tukio dah[emoji23][emoji119]Labda kama ni Chai, ila kama sio Chai, kwann usimuhoji?.
Wee sema ni Mtumiaji wa Malaya wa Telegram, Sasa umeamua kuja na kisa ili kuchangamsha...
Dah usikute wahuni humu tushawahi kumla demu wako bila kujua tusamehe blazaWakuu habari za muda huu tena.. nashukuru kwa michango yenu, japo wapo watu wamedhihaki na wengine wamechangia positive....
Kuanzia sasa naiunga mkono hii kampeni, hata kama ni mchango wafedha nitaanza kutoaKIJANA KATAA....
Aisee..😒😒Dah usikute wahuni humu tushawahi kumla demu wako bila kujua tusamehe blaza
Kabisaaaa.Muuzaji na mnunuaji mmekutana, hapo wote ngoma droo. Mnununue huyo huyo demu wako
Mkuu nitumie picha pm Ili nikuambie kama mchumba ni mkongwe kwenye tasnia maana Malaya ambao ni waruri zaidi ya sana wote wanaojiuza mitandaoni hii nchi nawajua.Wakuu habari za muda huu tena.. nashukuru kwa michango yenu, japo wapo watu wamedhihaki na wengine wamechangia positive...
🤣🤣🤣Mnununue huyo huyo demu wako
💯🤝Mademu 90%wanajiuza...... Different techniques.
💯🤝Mweke ndani tu mkuu sasa ivi ambao hawajiuzi hawafiki 10
Wewe unaona una haki ya kununua malaya ila mwenzako kuuza mali yake imekua ngongwa?Wakuu habari za muda huu tena.. nashukuru kwa michango yenu, japo wapo watu wamedhihaki na wengine wamechangia positive...
Kama hujafikia maamuzi ina maana bado unampenda.Soma mrejesho mkuu japo Bado sijafikia maamuzi