mkulu senkondo
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 1,862
- 3,574
Madanga yanataka utelezi sio magonjwaKwani kuumwa ndio kufa?
So hayo madanga yake ya zamani yamemkimbia kisa kuumwa au?
Sure, Ngoja aje kupigwa na kitu kizito baada ya Muda mfupi. Atatoa Figo halafu ataachwa tena!!anataka figo huyo sasa jilengeshe ukafeel the beat
Huu uzi ni chai isiyo na viungo maana ulishawahi letwa uzi wenye same story na huu japo simkumbuki aliyeuleta😄😄😄Huu uzi una dalili ya kuwa chai ila kama ni kweli basi mwambie aache ujinga afe tu kwani nani atabaki duniani hapa, its matter of time.
Ugonjwa wa figo sio kabisa mkuu kusavaivu miaka 5-7 mbele ni kipengele.Kwani kuumwa ndio kufa?
So hayo madanga yake ya zamani yamemkimbia kisa kuumwa au?
Alikukataa akiwa na nguvu anataka awe nawe akiwa hana nguvu akubebeshe mzgo. Hata Mungu anataka umtumikie ukiwa kijana na nguvu zakoHabari za jumapili wakuu.
Leo kuna kitu kimenichanganya kidogo.
Kuna binti nilimpenda kama 10 yrs ago huko, kama mjuavyo mabinti hawa wakiwa in their early 20's wanavyokuaga, baada ya battle ya hapa na pale kwa kipindi kile nikaona sina nguvu
mafogo na zile pombe za campan na mafogo zimemwaribu figo sasa anataka aje malizia shida kwako ama sio mjulie hali afu funga tinted tafuta elaa weweHabari za jumapili wakuu.
Leo kuna kitu kimenichanganya kidogo.
Kuna binti nilimpenda kama 10 yrs ago huko, kama mjuavyo mabinti hawa wakiwa in their early 20's wanavyokuaga, baada ya battle ya hapa na pale kwa kipindi kile nikaona sina nguvu...
Fanya kama anavo taka na ataponaHabari za jumapili wakuu.
Leo kuna kitu kimenichanganya kidogo.
Kuna binti nilimpenda kama 10 yrs ago huko, kama mjuavyo mabinti hawa wakiwa in their early 20's wanavyokuaga, baada ya battle ya hapa na pale kwa kipindi kile nikaona...